Tulimumu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2013
- 14,395
- 13,272
Naangalia Straight Talk Afrika kupitia Star Tv naona viongozi mbali mbali wakikaririwa, akiwemo rais wa Zambia kwa upande wa Afrika. Nimetamani sana kumuona JPM akitiririka pale mbele ya viongozi mbali mbali wa dunia akiwemo rais wa USA Donald Trump. Kwakweli huo ndio ungekuwa uwanja wa yeye kujitambulisha kidunia na kuitangaza Tanzania. Hapo ndipo angechomekea definition ya Catalyst ili akina Trump wamtambue kuwa yeye ni Dr. mwanasayansi wa kusomea na siyo wa kupewa. Nategemea kikao kijacho atakwenda yeye mwenyewe in person badala ya kila mara kuwakilishwa na waziri wa mambo ya nje Mahiga au makamu wake Samia.