Precise Pangolin
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 13,164
- 6,988
Kujenga hoja hawezi zaidi ya kurusha mikono kama anajiandaa kupiga mbizi
Kwani nchi imeathirka vipi kwa Magufuli kutohudhuria vikao hivyo?Au kuna sababu nyingine za msingi zaidi..
kuna hati yoyote ya kukamatwa kwake?labda anaogopa kukamatwa
Tatizo vikao vingi havina lolote la maana. Ni kula posho tu. Ukweli acha uitwe ukweli. Africa wanaoiangamiza ni viongozi wasiojari waafrika maskini wanaendeleaje. Wao ni kujipa uteule na kula bata tu.
Acha JPM akae magogoni mpaka kieleweke...hata hivyo yule mwingine bado mbona anasafiri sana. Halafu siku hizi ni mtunzi mzuri wa nahau na methali baada ya kuachia madaraka. Naye alikuwa baba haambiliki amesahau tu
anaogopa vibaka kama nyinyi mlizoea kudokoalabda anaogopa kukamatwa
Kama kila siku anatuma mwakilishi yeye atajifunza lini masuala ya diplomasia.Mwakilishi anaenda kama wewe na mimi tunavyoenda.So cheap. Kuna marais wanaenda na magari hata 20 na kuendelea. Na wasaidizi lukuki. Nani analipia hizo gharama? Hivi hili bara linanufaikaje na vikao vyao? So sad....
Akili za kutawaliwa shida . Mheshimiwa anapiga kazi mnataka atembee hili muibe ? shwainiUnasemaje vikao havina maana wakati Tanzania tunaenda kujadiliwa kama nchi kwa kwenda kinyume na maagizo ya baraza la usalama la umoja wa mataifa
Je unajua tukibainika ni kweli tumekiuka jitihada zote hizi zitakuwa hazina faida
Tuna bahati Tuna wanadiplomasia bora la sivyo
Heko Jk kwa kuwalea Mahiga & co
Hela zao mnataka but vikao vyao hamviwezi so stupidMwakilishi anaenda kama wewe na mimi tunavyoenda.So cheap. Kuna marais wanaenda na magari hata 20 na kuendelea. Na wasaidizi lukuki. Nani analipia hizo gharama? Hivi hili bara linanufaikaje na vikao vyao? So sad....
Mkuu ras simba anaingiaje hapa [emoji23][emoji23]Tatizo ni Rasi Simba
diplomasia gani unataka ajifunze shida yetu kubwa ni mijizi kama ww ndiyo anadhibiti . hatoki mtu hapa mpk mnyee debeKama kila siku anatuma mwakilishi yeye atajifunza lini masuala ya diplomasia.
Kwani nchi imeathirka vipi kwa Magufuli kutohudhuria vikao hivyo?
Wise comment,actually its pacemakerPacemaker na ndege ni kama paka na panya
Magufuli na Mahiga nani ni diplomat mzuri?acheni watu wafanye kazi zao,hivyo vikao vinahitaji wanadiplomasia wabobezi kama Mahigahaswa wakati huu ambapo mafisadi na wawekezaji wamepitia kwenye mgongo wa UN,kwenda Rais ni mbwembwe tuNdugu,
Nchi haiendeshwi kama.kijiji.
Diplomacy is the art and practice of conducting negotiations between representatives of states. It usually refers to international diplomacy, the conduct of international relations . Through the intercession of professional diplomats with regard to a full range of topical issues.International treaties are usually negotiated by diplomats prior to endorsement by national politicians.
Hiyo senteso ya mwisho inasisitiza kwa nini anatakiwa kwenda. Mimi nimesikia pahala Madakitari wamemshauri asitumie usafiri wa anga. Sasa New York ataendaje hata kama anataka?
Akili za kutawaliwa shida . Mheshimiwa anapiga kazi mnataka atembee hili muibe ? shwaini