Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Wadau hamjamboni nyote Taarifa kamili hapo chini ... 🚨 𝗞𝗠𝗖 𝗪𝗔𝗜𝗚𝗢𝗠𝗘𝗔 𝗦𝗜𝗠𝗕𝗔 𝗦𝗖 Wameandika barua bodi ya ligi, wanadai kanuni imekiukwa. Wamekataa kwenda Arusha. "Ukisoma kanuni zinakwambia...
0 Reactions
3 Replies
4 Views
Straight forward, aisee mwenzenu nimeona isiwetabu tuachane tu, mwanamke wangu alinitilia mashaka kuwa namucheat akanambia akigundua namucheat atanikata naniliu zangu usiku wewe nikaona isiwe...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Daaah, Inakata stimu kwa kweli. Yaani hata mama sijamrushia muamala. Yaani hata kuhemea bado napotezea ili mshahara upoe kwanza. Yaani hata hela haijampumzika kwenye akaunti. Yaani hata mwenyewe...
13 Reactions
12 Replies
2K Views
Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) limenunua rasmi eneo la Urafiki na majengo yaliyokuwa chini ya Kampuni ya Urafiki wa Tanzania na China (Tanzania - China Friendship Textile CO LTD) Jijini Dar es...
7 Reactions
92 Replies
3K Views
Nahitaji mwanasheria/wakili Mbobezi Ambae atanisaidia kuendesha mashtaka yangu mahakamani. Kesi ni Ya WIZI ila wizi ambao ndugu wanataka ugeuza uwe madai tumalize nnje ya mahakama ila hawafiki...
2 Reactions
2 Replies
3 Views
Kuna kitu sijakielewa bado, Iran ni Taifa la kiislamu, Rais ameuwawa na chopa jumapili, lakini mazishi yatafanyika Alhamisi, wakati deen inasema muislamu akifa azikwe haraka tena hukohuko...
9 Reactions
83 Replies
2K Views
Madaraka hulevya, usimamini mtu isipokuwa Mungu! Msikilize bashiru Ally kabla ya kuwa na madaraka https://x.com/i/status/1793231455981805944 na baada ya kuwa na madaraka...
0 Reactions
5 Replies
101 Views
Wengi hawamjui lakini Valentine Strasser alikuwa rais wa Sierra Leone kati ya Mwaka 1992 mpaka 1996, na aliweka rekodi ya kuwa kiongozi mwenye umri mdogo zaidi kuingia madarakani akiwa na miaka...
4 Reactions
44 Replies
2K Views
Nimetumwa niwafikishieni hizi Salamu zenu na Mimi kwakuwa ni Mjumbe wala sizicheleweshi ili nisije Kusahau kwani Kichwa changu kinawaza mambo mengi ya Msiba Iran, Kitendo cha Wapuuzi Ireland...
6 Reactions
21 Replies
558 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
124 Reactions
518K Replies
30M Views

FORUM STATS

Threads
1,856,270
Posts
49,686,435
Back
Top Bottom