Aliponiambia atanikata kichapio changu kama akigundua nimemsaliti nikaona nimpotezeee

GOLD BOY

JF-Expert Member
Jun 9, 2023
388
473
Straight forward, aisee mwenzenu nimeona isiwetabu tuachane tu, mwanamke wangu alinitilia mashaka kuwa namucheat.

Akanambia akigundua namcheat atanikata naniliu zangu usiku wewe nikaona isiwe shida bora tuachane tu.

Kuwa na mwanamke mmoja ni kipaji. Kila siku ladha hio hio siwezi.

NB: Wale wazee wa nyeto msichangie uzi.
 
Straight forward, aisee mwenzenu nimeona isiwetabu tuachane tu, mwanamke wangu alinitilia mashaka kuwa namucheat.

Akanambia akigundua namcheat atanikata naniliu zangu usiku wewe nikaona isiwe shida bora tuachane tu.

Kuwa na mwanamke mmoja ni kipaji. Kila siku ladha hio hio siwezi.

NB: Wale wazee wa nyeto msichangie uzi.
Vaa chupi ya chuma na kufuli
 
Mkuu bora wewe!

Mimi Juzijuzi sinikapata mmoja ni Mjeda yuko hapo Arusha,mtoto wa mstaafu mmoja mzito!

Huyu Manzi alitokea kunizimikia sana mtoto wa Kikurya!,Yeye alinitamkia mubashara ya kwamba "Siku ukinisaliti na nikajua,nitakulisha Chumvi au nitakupiga shaba mbele ya watu halafu na mimi najiua"

Aiseee asikwambie mtu,namna alivyo Serious sometimes huwa namuogopa hata kitandani,tukiwa kitandani huwa ananianza yeye maana mimi hadi namuogopaga.

By the way, She is gorgeous!
 
Mwenzio alifanyiwa hivi
 

Attachments

  • IMG-20240521-WA0009.jpg
    IMG-20240521-WA0009.jpg
    119 KB · Views: 2
Mkuu bora wewe!

Mimi Juzijuzi sinikapata mmoja ni Mjeda yuko hapo Arusha,mtoto wa mstaafu mmoja mzito!

Huyu Manzi alitokea kunizimikia sana mtoto wa Kikurya!,Yeye alinitamkia mubashara ya kwamba "Siku ukinisaliti na nikajua,nitakulisha Chumvi au nitakupiga shaba mbele ya watu halafu na mimi najiua"

Aiseee asikwambie mtu,namna alivyo Serious sometimes huwa namuogopa hata kitandani,tukiwa kitandani huwa ananianza yeye maana mimi hadi namuogopaga.

By the way, She is gorgeous!
kimbia mkuu wazazi Bado wnkupenda
 
Back
Top Bottom