Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Ni hivi, viongozi kadhaa wa dini ya kiislamu hapa nchini katika mawaidha yao hudai kuwa ni haramu kuchelewesha mwili wa marehemu hata kama alikuwa kiongozi akifa azikwe fasta fasta. Sasa kafariki...
13 Reactions
66 Replies
907 Views
Wadau hamjamboni nyote? Napendekeza Mkoa mmoja upewe jina la Mama Samia ikiwa ni njia ya kumuenzi & kumpa hamasa azidi kuchapa kazi Kwa nguvu kubwa kwa maslahi mapana ya Watanzania. Mama huyu...
2 Reactions
120 Replies
1K Views
Tanzania ni moja ya nchi chache zenye bahati ya kupata Rais mwanamke. Dr Samia kukalia kiti cha Urais kumebadilisha mtazamo wa wa Africa wengi kuweza kuwaamini wanawake. Tangu mama ameshika nchi...
7 Reactions
87 Replies
927 Views
Jamani kwema humu ndani? Leo nimeona niliongelee Bunge letu pamoja na madudu yake. Yaani Bunge la kipindi hiki ni bunge la ajabu kuwahi kutokea katika historia ya nchi yetu. Wabunge badala ya...
0 Reactions
19 Replies
396 Views
Nataka kumnunulia mpenzi wangu pedi ila sijajua ipi ni bora zaidi.
5 Reactions
54 Replies
644 Views
Habari wanajf Tunauza karanga jumla na lejaleja, pia tunapokea oda na kusafirisha mikoa yote ya Tanzania tuna package tofauti tofauti na ujazo pia Tupo mwanza, kwa mawasiliano zaidi 0781281011 Asante.
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Hello bosses and roses, it has been a while... Leo ngoja nimuongelee huyu kinda wa NBA kwa jina la Antony Edwards au Ant-Man, dogo wa 2001 tu hapa anaekipiga kwenye team ya Minnesota...
3 Reactions
34 Replies
495 Views
Wadau hamjamboni nyote? Leo nimeamini kuwa Watutsi na Waethiopia ni ndugu wa damu kabisa na kama kuna tofauti basi ni nchi tu wanazoishi kwa sasa. Tazama picha hapo chini ya Rais Paulo Kagame...
0 Reactions
6 Replies
220 Views
Niaje waungwana Leo nimeamua nilete kwenu uzi huu ili tumalizie ubishi uliopo mtaani kwetu kwa muda wa week tatu sasa bila kumpata mshindi wa kweli, huku kila kundi likivutia kamba upande wake...
5 Reactions
137 Replies
2K Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
124 Reactions
518K Replies
30M Views

FORUM STATS

Threads
1,856,179
Posts
49,683,942
Back
Top Bottom