Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Makamu Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lisu amesema baada ya maongezi yake na Rais Samia kule Ubelgiji aliweza kulipwa kiinua mgongo chake Lisu anasema kwa mujibu wa Maelezo aliyopewa na Wabunge...
6 Reactions
16 Replies
381 Views
Paul Okoye, maarufu kama Rudeboy kutoka kundi la muziki wa Afrobeats la PSquare amezua gumzo mitandaoni baada ya kuwashauri wanaume pia kukumbatia hulka ya kukataa mpenzi wa kike asiye na hela...
1 Reactions
55 Replies
308 Views
Kwa wafanyabiashara wakubwa wa GAS kuna mitungi inauzwa ipo 300 cylinder zisizo na gas. Mtungi mmoja bei (Bila Usafiri) 14,000. Kampuni iliyopo ni Taifa/Mihan Gas... Anahitajika Mfanyabiashara...
1 Reactions
14 Replies
273 Views
Mambo yafuatayo yameorodheshwa kuwa ndiyo tofauti kuu kati ya mvulana na mwanaume 1. Uwezo wa kukabiliana na magumu. Mvulana akipata magumu hulalamika au kukimbia kabisa magumu yake, mwanaume...
2 Reactions
7 Replies
171 Views
Leo ndiyo leo bata la ubingwa wa Yanga,je upo tayari kuenjoy na kuwakera my wetu Simba?
4 Reactions
11 Replies
127 Views
SONGESHA na MIKOPO mingine ya simu imepelekea watumishi KUNYIMWA mikopo WAnapoenda bank kukopa, na hii ni kutokana na mamlaka zinazosimamia mikopo kuweka utaratibu wa madaraja high risk,risk na...
12 Reactions
91 Replies
3K Views
Nakumbuka miaka hiyo ndio nimepata kazi benki Fulani, nikapata nyumba Sinza ya mama mtu mzima kijana. Akanikaribisha sana, hakuwa na noma, nilipokuja kununua flat TV enzi hizo plasma tv ndio...
2 Reactions
28 Replies
529 Views
Wanasema wasi wasi na jambo unapolileta hapa JF linaweza kubezwa au kutafakari kama wenye kulifahamu.Mkoa wa pwani upande kusini ni kama ulisahaulika kiasi fulani.ila baada yale ya kibiti na...
6 Reactions
19 Replies
331 Views
Wadau njooni hapa tufarijiane. Huko serikali imeshaweka mazingira magumu Tena kwenye kukopa. Mimi 2018 nilichelewesha rejesho kwenye Moja wapo benki hapa nchini. Mambo ya yangu hayakwenda vizuri...
1 Reactions
18 Replies
245 Views
Naitwa Bichwa Komwe. Mimi ni mtoto pekee katika familia ya Kitajiri. Baba yangu alikuwa muajiriwa katika kampuni ya wazungu, na alifanikiwa kuchuma fedha na mali nyingi. Mama yangu ni msomi na...
19 Reactions
58 Replies
788 Views

FORUM STATS

Threads
1,857,001
Posts
49,703,782
Back
Top Bottom