Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Depression inaniua taratibu, sasa siwez hata ongea nikisema neno nalia.
5 Reactions
19 Replies
20 Views
1. Ameona na kusoma messages zako ila hajajibu na yupo online (Bluetick) 2. Unamuona online ila hawezi hata kukutext, yaani mpaka wewe mwenyewe uanze kumtext 3. Mlipokuwa mnaongea kwenye simu...
7 Reactions
70 Replies
514 Views
Kila Jumatano ya mwanzo wa mwezi EWURA wanatangaza bei mpya ya nishati ya mafuta. Kwa asilimia kubwa kila wakitangaza ni ongezeko tu la bei na siyo punguzo. Ukichukua mfano wa nchi zote za jirani...
3 Reactions
7 Replies
201 Views
UMRI WAKO NI TABIA YAKO! HIVI NDIVYO ILIVYO, JIFUNZE TABIA 14 KATIKA UMRI TOFAUTI TOFAUTI. Kila umri una mawazo na tabia yake tofauti 1. Miaka 1~5 ni umri wa kujifunza chochote kwa kuiga...
7 Reactions
23 Replies
267 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
123 Reactions
516K Replies
30M Views
wakuu mambo ni vipi Embu Leo Taja jina la mtu ambaye hujawahi Kulisikia tena baada ya kukutana na mtu analitumia. Mimi nilikutana na jamaa anaitwa drufiano lile jina sijawahi kulisikia sehemu...
12 Reactions
226 Replies
6K Views
Habari za muda huu nilikua naomba msaada jinsi ya kubadilisha redio ya gari kutoka lugha ya kijapani kuja kingereza!
1 Reactions
5 Replies
44 Views
Wakati akichangia hotuba ya bajeti ya Wizara ya Afya bungeni Dodoma, Dr Msukuma ameshangaa mabinti wa miaka 10 tu kuwa na maziwa yaliyotutumuka kiasi cha kuhitaji kuvaa sidiria. Amedai utafiti...
13 Reactions
128 Replies
5K Views
Tukutane wote wenye virusi vya ukimwi na kuelezana ulijisikiaje ulipoambiwa kuwa una upungufu wa kinga mwilini? Mimi nakumbuka ilikuwa 2020, mwezi wa 7 tarehe 17 nilipima katika hospitali moja ya...
55 Reactions
292 Replies
7K Views
Vyuo vikuu, vinamchango mkubwa sana katíka ukuaji wa miji. Uwepo wa vyuo hasababisha biashara kufanyika kiurahisi. Mfano biashara za usafirishaji,vyakula,mavazi, vifaa vya umeme n.k vyuo huhuisha...
1 Reactions
8 Replies
35 Views

FORUM STATS

Threads
1,853,972
Posts
49,618,958
Back
Top Bottom