Ni kipi kati ya matukio haya kingekuumiza zaidi?

Raymanu KE

JF-Expert Member
Jan 20, 2022
7,080
13,054
1. Ameona na kusoma messages zako ila hajajibu na yupo online (Bluetick)

2. Unamuona online ila hawezi hata kukutext, yaani mpaka wewe mwenyewe uanze kumtext

3. Mlipokuwa mnaongea kwenye simu alikwambia ukate siku kidogo atakupigia badae muongee.Cha ajabu leo siku ya tatu yupo kimya tu hajakutafuta.

4. Yupo online, umemtumia message ila hajaisoma (hapa Kuna uwezekano ameona message yako ila amekataa kuifungua).

5. Amekuwishia good night saa mbili, Lakini saa nne usiku utamuona online.

Hivi unadhani kwa hayo matano hapo juu ni kipi kinachoumiza zaidi?
 
1.Ameona na kusoma messages zako ila hajajibu na yupo online ( Bluetick)

2.Unamuona online ila hawezi hata kukutext,Yaani mpaka wewe mwenyewe uanze kumtext

3.Mlipokuwa mnaongea Kwenye simu alikwambia ukate siku kidogo atakupigia badae muongee.Cha ajabu leo siku ya tatu yupo kimya tu hajakutafuta.

4.Yupo online,umemtumia message ila hajaisoma( hapa Kuna uwezekano ameona message yako ila amekataa kuifungua).

5.Amekuwishia good night saa mbili, Lakini saa nne usiku utamuona online.

Hivi unadhani kwa hayo matano hapo juu Ni kipi kinachoumiza zaidi?
mimi naona sawa tu hayo yote. Siwezi kuumizwa na vitu vya kijinga maana siwezi kumpangia mtu matumizi ya simu yake na bando lake.

kuna kitu kimoja() tu ndo ntaweza kumpangia mtu.
 
1. Ameona na kusoma messages zako ila hajajibu na yupo online (Bluetick)

2. Unamuona online ila hawezi hata kukutext, yaani mpaka wewe mwenyewe uanze kumtext

3. Mlipokuwa mnaongea kwenye simu alikwambia ukate siku kidogo atakupigia badae muongee.Cha ajabu leo siku ya tatu yupo kimya tu hajakutafuta.

4. Yupo online, umemtumia message ila hajaisoma (hapa Kuna uwezekano ameona message yako ila amekataa kuifungua).

5. Amekuwishia good night saa mbili, Lakini saa nne usiku utamuona online.

Hivi unadhani kwa hayo matano hapo juu ni kipi kinachoumiza zaidi?
6. Anakulilia njaa, unamtumia hela then anapost status yupo baa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom