Witch hunter
JF-Expert Member
- Nov 21, 2018
- 1,618
- 4,061
Tukutane wote wenye virusi vya ukimwi na kuelezana ulijisikiaje ulipoambiwa kuwa una upungufu wa kinga mwilini?
Mimi nakumbuka ilikuwa 2020, mwezi wa 7 tarehe 17 nilipima katika hospitali moja ya mgodini, na kugundulika kuwa nina maambukizi, taarifa hiii ilikuwa mbaya sana kwangu ila baada ya hapo nilizoea na sasa naishi vyema kwa matumaini.
Twambie wewe mdau ulijisikiaje?
NB: Tutumie lugha safi yenye staha, tusibaguane wala kunyayapaana.
Akhsante.
Mimi nakumbuka ilikuwa 2020, mwezi wa 7 tarehe 17 nilipima katika hospitali moja ya mgodini, na kugundulika kuwa nina maambukizi, taarifa hiii ilikuwa mbaya sana kwangu ila baada ya hapo nilizoea na sasa naishi vyema kwa matumaini.
Twambie wewe mdau ulijisikiaje?
NB: Tutumie lugha safi yenye staha, tusibaguane wala kunyayapaana.
Akhsante.