Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Probability ya mwanaume kumcheat mkewe( kuwa na mchepuko) Ni almost 80% Au niseme zaidi ya asilimia 80 ya wanaume wote Duniani Ni wanacheat kwa wapenzi/ wake zao. Ila ukimuona mwanaume ambaye...
1 Reactions
12 Replies
143 Views
Hii ni "fragile" period kwa vile kuna chaguzi zijazo. Maadui wenu wanasubiri mvurugane kwenye chaguzi za ndani and surely will take advantage of this kupita kirahisi chaguzi zijazo. Postpone...
1 Reactions
19 Replies
223 Views
Nina uzoefu wa miaka miwili as Lab technician nimefanya Bwawa la Umeme la mwalimu Nyerere. Natafuta kazi as Civil technician Foreman Lab technician CAD technician Nipo Dar es salaam
1 Reactions
12 Replies
144 Views
Habari za jioni,Nina kama shilingi za kitanzania 350,000/= je ni simu gani nzuri ya Android ambayo naweza kupata kwa pesa hii ama chini ya hapo. Niliwahi kuandika thread kama hii kuhusu simu za...
2 Reactions
671 Replies
133K Views
Habari wakuu, Naomba nitoe heshima zenu kwa wale wote walio wakubwa kwangu na ni niende moja kwa moja kwenye mada kuhusiana na wenzetu wanawake, ambao ni wasaidizi wa maisha yetu kama muumba...
6 Reactions
31 Replies
2K Views
  • Sticky
Tanzania secures $7.6 billion financing deal from Chinese lender to build new railway President John Magufuli with China Exim Bank president Liu Liang after holding talks at Chamwino State Lodge...
15 Reactions
16K Replies
2M Views
Takriban watu 14 wameaga dunia na wengine kadhaa kujeruhiwa baada ya bango kubwa kuanguka wakati wa dhoruba ya ghafla katika mji wa Mumbai nchini India. Bango hilo, lenye ukubwa wa mita 70 kwa 50...
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Katika Hospital za Rufaa za Mikoa na Hospital za Ngazi ya Taifa na Kanda, Madaktari wana maslahi tofauti kimishahara, Daktari wa Hospital ya Ngazi ya Taifa na Kanda anamzidi mshahara Daktari wa...
0 Reactions
1 Replies
42 Views
Habari wanajukwaa, Leo nimeona niwaelezee smartphone ilivyonipeleka polisi katika kituo ca msimbazi then njkahamishwa hadi kituo cha Mbweni kilichopo Bagamoyo Road, nisiwachoshe ngoja niende...
7 Reactions
43 Replies
2K Views
Mbunge wa Jimbo la Moshi Vijijini(CCM), Profesa Patrick Ndakidemi, ameitaka mamlaka ya Hali ya hewa nchinj(TMA) kusogeza huduma za Hali ya hewa hadi kupeleka watendaji kuanzia ngazi za Kanda...
0 Reactions
2 Replies
46 Views

FORUM STATS

Threads
1,853,741
Posts
49,612,561
Back
Top Bottom