Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Salaam, Shalom. Ni wiki sasa, Mwanasheria msomi Tundu Lissu ametoa HOJA nzito kuhusiana na Muungano wetu, bandari, na anatoa HOJA Kwa kutumia Katiba ya nchi iliyopo. Cha kushangaza wanaibuka...
40 Reactions
193 Replies
3K Views
Ni swali linaloniumiza Kichwa Hapa Arusha.. Kila nikiangalia Naona kabisa hakutakuwa na majibu ya Wafanyakazi Nchini zaidi ya Porojo.. Nilidhani Rais atakuja na Kujibu Hoja za wafanyakazi kama...
5 Reactions
22 Replies
491 Views
NILICHOJIFUNZA KWA CHRITINA Nimejifunza mambo haya kwenye hili 1. MAAMUZI SAHIHI AMEYAFANYA WAKATI USIO SAHIHI yapo maamuzi yanaweza kuwa sahihi ila yakafanyika wakati usio smawil Maamuzi sahihi...
6 Reactions
58 Replies
1K Views
ANAYOFANYA CHRISTINA SHUSHO NI MATOKEO YA WANAUME WENGI KUOA WANAWAKE WATUMWA "WASIOHURU. SIKU WAKIPATA UHURU WAO HAYO NDIO HUTOKEAGA. Anaandika Robert Heriel Mtibeli Huwezi mfanya Mwanamke...
4 Reactions
16 Replies
178 Views
BY OSCER OSCER MUNHU ANAKUONA KAKA REJEA KICHWA CHA HABARI WANASIMBA HIZI SARE @@TUTAKI TUPEN MITANDIO YAKEE
1 Reactions
3 Replies
93 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
123 Reactions
512K Replies
29M Views
Leo Mei mosi 2024, tunawatakia wafanyakazi wote wa Tanzania sikukuu njema. Salam zetu kwao ni kwamba; 1. tunawaasa wawe na mahusiano mazuri kazini, wapendane, waache kuoneana wivu, waache...
1 Reactions
9 Replies
120 Views
Hili ni tukio kubwa na yeye ndio muhusika mkuu na ndio mwajiri mkuu kama sikosei kwa watumishi wa umma. Swali ni je, yuko wapi na anafanya nini au nini kimemsibu?
4 Reactions
16 Replies
460 Views
Bado naendelea kutafuta mwanamke wa kuanzisha naye mahusiano ya kimapenzi. Vigezo nahitaji mwanamke msikivu mwenye adabu. Makazi awe anaishi dar Umri kuanzia 20-45 wote nawakaribisha. Umri...
1 Reactions
4 Replies
26 Views
@Arusha,Mama mchagga (Mmaranguu), baba mngoni Ndege mjanja hunaswa tundu bovu, baada ya kuchemka mwishowe nilisaidiwa kumpata wa kunioa 'Asante' Mama aliwakataa wachumba zangu wawili, watatu...
1 Reactions
3 Replies
50 Views

FORUM STATS

Threads
1,850,062
Posts
49,536,543
Members
667,321
Latest member
Mayenga54
Back
Top Bottom