Leo Mei mosi 2024, tunawatakia wafanyakazi wote wa Tanzania sikukuu njema.
Salam zetu kwao ni kwamba;
1. tunawaasa wawe na mahusiano mazuri kazini, wapendane, waache kuoneana wivu, waache kufitiniana/kuchongeana kwa maboss wao na kupigana majungu.
Majungu na fitina mahali pa kazi inapunguza ufanisi na tija.
Viongozi mlio teuliwa kuwasimamia walio chini yetu acheni kuendendeza majungu na fitina, unganisheni wafanyakazi wapendane.
Bango langu la leo kwa wafanyakazi ni;
WAFANYAKAZI ACHENI MAJUNGU NA FITINA MAHALI PA KAZI. PENDANENI.
Kazi iendelee.
Salam zetu kwao ni kwamba;
1. tunawaasa wawe na mahusiano mazuri kazini, wapendane, waache kuoneana wivu, waache kufitiniana/kuchongeana kwa maboss wao na kupigana majungu.
Majungu na fitina mahali pa kazi inapunguza ufanisi na tija.
Viongozi mlio teuliwa kuwasimamia walio chini yetu acheni kuendendeza majungu na fitina, unganisheni wafanyakazi wapendane.
Bango langu la leo kwa wafanyakazi ni;
WAFANYAKAZI ACHENI MAJUNGU NA FITINA MAHALI PA KAZI. PENDANENI.
Kazi iendelee.