Recent content by Zyusual

  1. Z

    Uzi wa vyakula tu

    Mie nakusubiri unielekeze japo kidogo namna ya kupamba nkamu
  2. Z

    Weka Profile yako hapa, muajiri akiiona akufuate PM

    Profession:Mass Communication Education level: Bachelor of arts in Mass communication Experience: I have been working with NGOs for five years Gender: Female Location: Mbeya
  3. Z

    Nimempambania kapata kazi, salary ni 1.5m gross kaikataa kisa kapangiwa kwenda mkoani Mbeya

    Hii ni fursa mkuu,naomba hii nafasi,mimi niko Mbeya
  4. Z

    Mkague mgeni wako kabla hajaingia ndani

    Mkuu,Sijui kwanini huwa nahisi ni mtu ninayekufahamu
  5. Z

    Yanga SC 2-1 Namungo FC | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium

    Yaani chiko na ushindi hamna wachezaji mule
  6. Z

    Yanga SC 2-1 Namungo FC | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium

    Muhimu point tatu na burudani
  7. Z

    Yanga SC 2-1 Namungo FC | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium

    Wamekosea njia ya kutokea wamengia kwenye bus la yanga
  8. Z

    Men Talk: Kuhusu Single Mom's

    Shangaa na wewe mkuu,yaani kila baya ni lao
  9. Z

    Ugumu wa kupata haki toka Benki ya Posta

    Asante sana mkuu kwa msaada wako
  10. Z

    Ugumu wa kupata haki toka Benki ya Posta

    Asante kwa ushauri mkuu Naamini mwenye mawasiliano yake atanisaidia
  11. Z

    Ugumu wa kupata haki toka Benki ya Posta

    Nina hisi kuna watu wanakula kwa kupitia mgongo wa mstaafu
  12. Z

    Ugumu wa kupata haki toka Benki ya Posta

    Itabidi tu apande basi afike makao makuu yao ingawa alishawah fanya hivyo
  13. Z

    Ugumu wa kupata haki toka Benki ya Posta

    Pole mkuu,hapo kuna mtu anataka rushwa
  14. Z

    Ugumu wa kupata haki toka Benki ya Posta

    Habari zenu wakuu,nina ndugu yangu amestaafu kwa hiyari tangu miaka minne iliyopita,Huyu ndugu yangu alipokuwa kazini alikopa kiasi fulani cha pesa toka TPB lakini huu mkopo alifanikiwa kuulipa wote kipindi yupo kazini,lakini tatizo likajitokeza kipindi mafao yalipotoka kwani kile kiasi cha...
  15. Z

    Uzi wa vyakula tu

    Very delicious 😋
Back
Top Bottom