Shule ya Meta secondary iliyopo mkoa wa Mbeya inayomilikiwa na CCM kupitia jumuiya ya wazazi imezulumu watumishi wake pesa za mishahara na marupurupu mengine zaidi ya watumishi 80 wanahaha kuzipata pesa zao bila mafanikio wanaishia kutishia ili wasidai pesa zao
Na kwa sasa idadi ya wanafunzi...
Hili swala ni kubwa Sana me pia ni muhanga meta sekondary mkoa wa mbeya watumishi wote waliopo na waliofukuzwa nikiwepo mimi na waliostafu zaidi ya 40 pesa zetu za mishahara na NSSF na mimi nilifukuzwa baada ya kuanza kudai pesa tunaomba mheshimiwa raisi atusaidie imekuwa genre la wazurumaji
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.