Swali lingine la kujiuliza kulikuwa na haja gani ya kuweka zile kona kali km za kitonga pale kimara mwisho..hadi sasa scania mbili zimeshaanguka na kuua..strabag wanafunga barabara ovyo wanaongeza foleni ovyo
Lorin..kumbe ndo ww ulikuwa umelala kwenye daladala jana...oopssss natania...! Ebana mie nilipanda ubungo saa 11 kufika over saa 2:30,sasa nina mpango wa kuacha kodi ya miez 3,hii kweli laana
Na ni mangapi CDM wamepinga lkn yamepitishwa, au kiu yenu ni kusikia wanasema nn, tuache siasa za kupimana kwa mtindo huu...NO ONE IS 100% PERFECT. Jitambue CCM kuna madudu mangap lkn bado unakishabikia.
dem wa misoto,shida na raha changamoto hana! #NICK II. Naanza sasa kumuelewa LINEX haya majina ya Halima inaonekana hawapendi misoto kabisa! Ndo akina Manka wa kichaga hawa.
point of correction..maelezo uliopewa ni kwa wale wa form six..kwa degree holder nafas ya kompyuta ya sayans ambayo ni sawa na IT yako post ni assistant inspector.pia utume kwa katibu mkuu na sio kamishna jeneral sina gazet karib hapa..daily newz trh 21 jan.hop somehow it wl help
JESHI LA ZIMA MOTO NA UKOAJI LATANGAZA AJIRA KWA VIJANA WENYE UHITAJI.
1.MKAGUZI MSAIDIZI WA ZIMA MOTO NA UOKOAJI - NAFASI 103.
2. SAJINI WA ZIMA MOTO NA UOKOAJI - NAFASI 190.
3. KONSTEBO WA ZIMA MOTO NA UOKOAJI - NAFASI 507.
Source:daily news tuesday january 21,2014.
NB. deadline:01/02/2014.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.