Recent content by Zumbefamily

  1. Z

    Mume wangu anapenda tu kifo cha mende

    Tatizo la kuanza unzizi kabla ulijuaje kwamba hizo style nyingine zitakupa raha kiliko hiyo,maana huwezi kutamani usichokijua.
  2. Z

    Zitto: Uamuzi wa kuhamia Dodoma ni sahihi, unapaswa kuungwa mkono na wazalendo wote Tanzania

    Hongera zitto kwa kuliona hilo,hata mimi ninashangaa sana kumuona mtu anapinga hoja ya kuhamia Dodoma
  3. Z

    Dkt. Magufuli aongoza wananchi kwenye majaribio ya uzinduzi wa kivuko cha MV Dar es Salaam

    Tungekuwa na viongozi wanaojua kuyaishi mane no yao hii inchi ingekuwa mbali sana, maana sikumbuki alilotamka magufuli then likaacha kutekelezeka.
  4. Z

    Aliyeandaa sera ya elimu apaswa kufungiwa jiwe la kilo elfu na kutupwa baharini

    Tatizo inchi hii Hainan dira inayomguide mtu,inchi yeyote ile yenye dira ya taifa,haiwezi kutengeneza upumbavu km huu,watu wanapigania international relationship halafu wewe unaishusha samani international language? Hv niakiri kwer hiyo
  5. Z

    Mtihani wa Darasa la Saba wafutwa

    Wadau nashauri tuisomeni kwanza Sera yenyewe,coz Sera ni km dira au guide inayokuongoza wakati wa kupanga utekelezaji,tuisome na tusubiri mikakati watakayo kuja nayo kuitekeleza hiyo sera. Japokuwa hofu yangu sijui km kale kamchezo ka kupanga vizuri na kutokutekeleza kameisha.
  6. Z

    Prof. Tibaijuka ashauri wabunge wasiwe Mawaziri!

    Mbona anaunga baada ya kutoswa?mnafk huyo.
  7. Z

    Business Plan

    Unapatikana wapi?
Back
Top Bottom