Yes. Hii ni hospital ya serikali pale kijitonyama iliyopewa jina la Mzee Mzena kama sehemu ya kumuenzi kwa kazi nzuri akiwa mkurugenzi mkuu WA idara hiyo.
Unaongea usichokijua. Nani brake pads/shoes tu ndio tatizo linalofelisha breki? Kamanda kusema uchunguzi unafanyika unamuona mjinga na wewe ndio mjuaji? Hizo gari zinatumia breki ya upepo, unajua ni valve zimekata au pipe zimetoboka?? No research no right to speak. Acha utanganyika hii ni...
Kutoka mombasa kwenda moshi bar lami ipo mbovu tu, lakini kutoka Moshi bar kwenda bomba mbili hakupitiki kabisa , imesababisha madaladala kuwa machache sana , bajaj haziendi na hata bodaboda xinadengua pia!!!
Huku kwetu bomba mbili barabara ni mbaya mno. Hata madaladala yanayokuja huku ni yale yalichoka mno kutokana na matajiri kuhofia ubovu wa barabara. Kiukweli hakuna mtu wa kuanzia kwa diwani mpaka bombambili na mkolemba anaetaka kusikia jina la huyu naibu waziri/mbunge alietelekeza wapigakura...
Kulikuwa na haja gani yakukimbilia kutangaza msiba wa watu? yeye ni msemaji wa familia? yeye ni msemaji wa Serikali? anastahili kuchukuliwa hatua za kinidhamu kwa udaku
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.