RC Anthony Mtaka ana sifa gani spesheli?

RC Anthony Mtaka ana sifa gani spesheli?

Nimemteteaje waziri?

Nimemtetea kwa lipi? Kuhusu nini?
Yaani unauliza maswali kama uko darasa la pili! Sasa kama humtetei waziri, hii mada yako inahusu nini!!

Kumsimanga huyo RC Mtaka kwa mipasho na vijembe? Kisa tu amempa makavu huyo waziri wako asiyejitambua?
 
Alikua na point sana,pengine kwenye kuiwasilisha aliteleza!ila tu honestly ameonyesha anajua anachokifanya,na pengine kwenye wizara ya elimu anaweza kuwa helpful kuliko huyo maza aliepo sasa hivi!
Maana maza ana vyeti vilivyojaa theories ila practically analiangusha taifa!
Mtaka apewe wizara kwakweli!
 
Huyu anayeitwa Anthony Mtaka ni muda sasa nimeanza kumsikia lakini sikumtilia maanani kivile. Hata wakati wa Magufuli nilikuwa namsikia sikia tu kwamba ati ni Mkuu wa Mkoa bora. Akapewa sijui na tuzo!

Binafsi sikuwahi kumfuatilia kwa sababu sikuwahi kuvutika nae. Nilikuwa namsikia sikia tu kwa juu juu sana. Hivi majuzi alivyoteuliwa kuwa RC Dodoma nilimuona anazungumza akitoa hotuba fupi.

Kwanza ni wa kawaida sana na anaonekana ana majigambo ya ujuaji. Hata lugha yake ya mwili inaonesha anajidhania kwamba yeye ni mtaaluma na mjuvi kuliko wengine.

Jana tu hapa kamfokea Waziri wa elimu na kuyapuuza maagizo yake kwa kejeli na dhihaka. Hii kiprotokali sijui imekaaje?

Udhalilishaji wake dhidi ya Waziri umethibitisha yale yote niliyokuwa nayafikiri juu yake — Kwamba ni mjuaji juaji tu.

Na si ajabu anawalipa watu mitandaoni ili wamsifie sifie. Binafsi sioni kama ana ubora wowote au maajabu yoyote.

Kwani amefanya kitu gani hicho mpaka astahili misifa yote hiyo ninayoisikia mitandaoni kutoka kwa wafuasi wake pendwa?
Licha ta hivyo,hajui taaluma ta ualimu,hoja ni kuwapa fursa wanafunzi kupumzisha akili,sio kusoma muda wote,ama kuhusu watoto wa mawaziri kusoma ulaya,hii inakujaje na kamraja waziri wa wlimu kiana,sasa kwa taarifa yake mtaka,huyo waziri wa elimu ana mtoto mmoja tu wa kike na anasoma tanzania

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Huyu anayeitwa Anthony Mtaka ni muda sasa nimeanza kumsikia lakini sikumtilia maanani kivile. Hata wakati wa Magufuli nilikuwa namsikia sikia tu kwamba ati ni Mkuu wa Mkoa bora. Akapewa sijui na tuzo!

Binafsi sikuwahi kumfuatilia kwa sababu sikuwahi kuvutika nae. Nilikuwa namsikia sikia tu kwa juu juu sana. Hivi majuzi alivyoteuliwa kuwa RC Dodoma nilimuona anazungumza akitoa hotuba fupi.

Kwanza ni wa kawaida sana na anaonekana ana majigambo ya ujuaji. Hata lugha yake ya mwili inaonesha anajidhania kwamba yeye ni mtaaluma na mjuvi kuliko wengine.

Jana tu hapa kamfokea Waziri wa elimu na kuyapuuza maagizo yake kwa kejeli na dhihaka. Hii kiprotokali sijui imekaaje?

Udhalilishaji wake dhidi ya Waziri umethibitisha yale yote niliyokuwa nayafikiri juu yake — Kwamba ni mjuaji juaji tu.

Na si ajabu anawalipa watu mitandaoni ili wamsifie sifie. Binafsi sioni kama ana ubora wowote au maajabu yoyote.

Kwani amefanya kitu gani hicho mpaka astahili misifa yote hiyo ninayoisikia mitandaoni kutoka kwa wafuasi wake pendwa?

Ni kilaza fulani tu mpenda sifa na wanawake, he is a feminist, anafahamika subiri wakati ndio wa kuweka kila kitu bayana. Tunasubiri mamlaka ya Uteuzi ijikoroge kwenye hili ndio tuje na chawa na kunguni wa Mtaka.
 
Alikua na point sana,pengine kwenye kuiwasilisha aliteleza!ila tu honestly ameonyesha anajua anachokifanya,na pengine kwenye wizara ya elimu anaweza kuwa helpful kuliko huyo maza aliepo sasa hivi!
Maana maza ana vyeti vilivyojaa theories ila practically analiangusha taifa!
Mtaka apewe wizara kwakweli!

Atapewa Wizara ya kujidemsha upumbavu alioufanya utasifiwa Tanzania tu palipojaa poor thinking.
 
Huyo RC ni asset siyo liability, kahamishiwa Dodoma kuleta mabadiliko siyo mihemuko.
 
Huyu anayeitwa Anthony Mtaka ni muda sasa nimeanza kumsikia lakini sikumtilia maanani kivile. Hata wakati wa Magufuli nilikuwa namsikia sikia tu kwamba ati ni Mkuu wa Mkoa bora. Akapewa sijui na tuzo!

Binafsi sikuwahi kumfuatilia kwa sababu sikuwahi kuvutika nae. Nilikuwa namsikia sikia tu kwa juu juu sana. Hivi majuzi alivyoteuliwa kuwa RC Dodoma nilimuona anazungumza akitoa hotuba fupi.

Kwanza ni wa kawaida sana na anaonekana ana majigambo ya ujuaji. Hata lugha yake ya mwili inaonesha anajidhania kwamba yeye ni mtaaluma na mjuvi kuliko wengine.

Jana tu hapa kamfokea Waziri wa elimu na kuyapuuza maagizo yake kwa kejeli na dhihaka. Hii kiprotokali sijui imekaaje?

Udhalilishaji wake dhidi ya Waziri umethibitisha yale yote niliyokuwa nayafikiri juu yake — Kwamba ni mjuaji juaji tu.

Na si ajabu anawalipa watu mitandaoni ili wamsifie sifie. Binafsi sioni kama ana ubora wowote au maajabu yoyote.

Kwani amefanya kitu gani hicho mpaka astahili misifa yote hiyo ninayoisikia mitandaoni kutoka kwa wafuasi wake pendwa?
Wewe ni ndugu yake na yule bibi anayeua elimu yetu. Shame on you
 
Mtaka apewe wizara kwakweli!
Kwa Tanzania siwezi kushangaa akipewa hiyo Wizara.

Vyeo vya kisiasa hivi, huwezi hata kuelewa mtu ameteuliwa kwa minajili gani.

Mwingine labda boyfriend wa Bi- Mdashi tu na yeye anapewa ulaji — Na huwezi kuhoji.
 
Mimi binafsi mkuu wa mkoa bora ni yule aliekua Geita kisha akapelekwa Mara na sasa yuko Mwanza. That man is the best rc.
 
Kuna kijana mmoja hivi anaitwa Godlisten Mallisa, nasikia ni 'Genius' ndie anampamba kweli huko mitandaoni.. na kama unavyofahamu kuhusu 'nyumbu' akianza mmoja kuvuka mto wote watavuka hata kama ni hatari kiasi gani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom