Recent content by Zuleha

  1. Zuleha

    Huwa mnaishi vipi Kwa kutegemea mishahara?

    Tunaishi maisha magumu mnoo,....na hela zenyewe ndo zinaishaga tu bila kufanyia kitu cha mana
  2. Zuleha

    Hotuba ya Rais Samia ikipishana na matarajio ya raia, ina maana gani?

    Ata mi nimeona Mama hayupo sawa jamani,......lawamaaaa zooote anapewa yeye unadhani haoni yanayoendelea mtandaoni.
  3. Zuleha

    PreGE2025 Rais Samia: 4R zisitumike kama kisingizo cha kuvunja sheria

    Mheshimiwa mbona kama alikua analia au macho yangu
  4. Zuleha

    Msaada mtoto wangu mbegu moja imepotea

    Na wewe una ngiri
  5. Zuleha

    Mvua kubwa inayoendelea kunyesha Dar leo Aprili 23, tupia picha eneo lililoathirika

    Ulongoni ndo kuna mafuriko mkuu upande huu hamna kuswim
  6. Zuleha

    Mvua kubwa inayoendelea kunyesha Dar leo Aprili 23, tupia picha eneo lililoathirika

    Na ngoja mvua iishe kila mtu ana sweta zito 😂
  7. Zuleha

    Nahisi leo ndo nimeona chuma ulete live

    Daah Kinyanambo kitambo sana iyo kipindi iko bajaji 500 to mafinga
  8. Zuleha

    Nimegundua mme wangu sio mwaminifu

    Poleee dada nakuelewa mnoo
Back
Top Bottom