Recent content by Zuella zuu

  1. Zuella zuu

    JamiiForums Tanzania Pesa inaweza kuja kwenye maisha yako bila kutarajia

    hiyo aya ya mwisho bhana msumari wa moto sana yaani kameniumaa
  2. Zuella zuu

    JamiiForums Tanzania Uzoefu wangu kwenye biashara ya duka la nguo

    kuna mamaangu mdogo namueleweshaga sana kwenye hili still haelewi asante nimescreenshot comment yako labda ataelewa.
  3. Zuella zuu

    JamiiForums Tanzania Kwa kilichotokea jana, nisameheni tu wana JF

    id yangu hata ya zamani haijulikani nilisahau password ila nilikua tu silent killer na yale mazonge yote ya selfika enzi hizo 😂😂
  4. Zuella zuu

    JamiiForums Tanzania Kwa kilichotokea jana, nisameheni tu wana JF

    hivi hawaoni kama wanajisumbua kukulisha ban? maana una comeback za kutosha 🤣
  5. Zuella zuu

    JamiiForums Tanzania Kwa kilichotokea jana, nisameheni tu wana JF

    mwenzangu nilipitiwa naamka midnight nakuta mmekula ban🤣🤣
  6. Zuella zuu

    JamiiForums Tanzania Kwa kilichotokea jana, nisameheni tu wana JF

    kuna kimoja kimeanza kuji replaisha kule juu hujakiona? 😅😅
  7. Zuella zuu

    JamiiForums Tanzania Kwa kilichotokea jana, nisameheni tu wana JF

    lamo sijaona top ya afutatu fanya kusambaza upendo 🙄
  8. Zuella zuu

    JamiiForums Tanzania Selfika na JF: Snap it. Show it

    alaah coca ndio napokupendea hapo 🤣
  9. Zuella zuu

    JamiiForums Tanzania Selfika na JF: Snap it. Show it

    unajua kumjaza mtu upepo nia yako aje tu kukinukisha 🤣
  10. Zuella zuu

    JamiiForums Tanzania Selfika na JF: Snap it. Show it

    mikwara mbuzi tu kumbe
  11. Zuella zuu

    JamiiForums Tanzania Selfika na JF: Snap it. Show it

    apewe muda saa tatu haijaisha 😂😂
  12. Zuella zuu

    JamiiForums Tanzania Selfika na JF: Snap it. Show it

    apewe muda saa tatu haijaisha 😂😂
  13. Zuella zuu

    JamiiForums Tanzania Selfika na JF: Snap it. Show it

    taratibu bhana tunachangamsha kijiwe tu kusogeza muda nakuaminia refalii 😂😂😂
  14. Zuella zuu

    JamiiForums Tanzania Selfika na JF: Snap it. Show it

    lamomy eti kweli country kabambikiwa mtoto?
  15. Zuella zuu

    JamiiForums Tanzania Makosa tuyafanyayo ndani ya JF

    unajidhalilisha tu angalia usiache ndala
Back
Top Bottom