Recent content by zuberikaunga

  1. Z

    Water pump inahitajika

    Water pump iko Moro used inauzwa call 0714959273
  2. Z

    Msaada kuhusu upatikanaji wa mashamba ya kununa Morogoro

    Kwa kilimo cha muhogo karibuni wilaya ya kisarawe tuna fulsa nzuri ya kilimo cha namna hiyo, pia Nina connection na watu Wa morogoro 0714959273
  3. Z

    Soko zuri la Tangawizi

    Wadau mbegu za tangawizi zinapatikana wapi?
  4. Z

    Natafuta shamba mkoa wa Mara(Morogoro)

    Kwa kisarawe heka ni laki 3,Kwa morogoro heka ni laki 4.
  5. Z

    Natafuta shamba mkoa wa Mara(Morogoro)

    Tunayo mashamba ya kutosha morogoro wasiliana nasi kwa 0714959273
  6. Z

    Kilimo cha Mihogo (Cassava): Mbinu, Ushauri, Changamoto na Masoko yake

    Njoo kisarawe mkuu ardhi nzuri na ni 50 km from k/koo na bei ni nafuu.
  7. Z

    Tundu Lissu: Tusishabikie maamuzi ya kijinga kwasababu tu yamefanywa na Rais

    Mi nadhani ingekuwa ni busara zaidi kuona jitihada zako zinaelekezwa haswa kwenye kushauri na kushawishi Kwa maslahi ya watanzania, kwani lengo ni kusimama Kwa umoja wenu na kuona nchi yetu inaimarika zaidi kiuchumi lakini tukiupa nafasi u-mimi tutajikuta tunapishana na muda Sent from my...
Back
Top Bottom