Recent content by ZubeirAbusheikh

  1. ZubeirAbusheikh

    Natafuta binti wa kazi kwa ajili ya Mama Ntilie. Mshahara Tsh. 3,000/- kwa siku

    ...mkuu Kwan lazima awe binti ... Kama kuna kijana wa Kiume mpishi mzuri wa chapati , Ana lugha nzuri kwa wateja,mjuzi wa hesabu, anajua kuhudumia vizuri wateja na ni mchangamfu .. hakufai ? Kwakua sio binti.?
  2. ZubeirAbusheikh

    Ukishafikisha miaka 35 kama haujapata kazi, basi achana na mambo ya kazi fanya haya yafuatayo

    ... mkuu huu uzi wako ni mzuri sana ... Maana umebeba dhamira na ujumbe bora Kabisa ... ila watu Wengi wameshindwa kuuelewa kwasababu ya mtindo m'bovu uliotumia kuuwasilisha ... Sasa watu wameshindwa kuuelewa wamekuwa na hali ya hasira dhidi Yako ... nakushauri next time ukileta thread yako humu...
  3. ZubeirAbusheikh

    Wanawake weupe vs Wanawake weusi

    Kama . ...... Tafiti zenye ukakasi .... Wanawake Weusi umu mpo kwenye radar mjue ... kupitia Tafit hizi huendaaa mkapata Tabu Sanaa ....
  4. ZubeirAbusheikh

    Zoezi la kutafuta mchumba limekuwa gumu

    ... Mkuu Mbona Kama mi nimeshaijua hiyo namba ya Mwisho ... Nimsaidie kumpatia iyo namba ndugu yetu apate mke..? tell me if you ar serious tumsaidie jamaa ...
  5. ZubeirAbusheikh

    Uhusiano wa ajira za ualimu Vyuo Vikuu, TCU na GPA za SUA

    ... Mkuu huo mfano wa MZUMBE UNIVERSITY umeuweka mahala pasipo sahihi ... maana mifumo ya calculations za GPA baina ya MU na SUA ni Sawa sawa ... so nakushauri tu ww Kama msomi mwenye weledi unapaswa Kuwa mfuatiliaji wa taarifa na ujiridhishe Kabla ya kutia Neno Unlike ww umekurupuka mbele ya...
  6. ZubeirAbusheikh

    Utumishi mtuangalie na sisi wa mikoani!

    ... pole mkuu ... tembeza bakuli uje mkuu .. you never know inaweza ikawa ndo kazi yako iyo ...
  7. ZubeirAbusheikh

    Kwa faida ya watoto, ukitaka kuoa angalia uwezo wa akili wa mwanamke

    (N.B neno kilaza limetoholewa toka kwa mwanamziki Juma kilaza aliyejifanya anauwezo wa kupiga gitari kuliko Mbaraka mwinshehe lmiaka ya 1970 akini siku waliposhindanishwa akaonekana kuwa na uwezo mdogo sana tangu hapo watu wenye uwezo mdogo huitwa kwa jina lake) ... mkuu kilichonifurahisha...
  8. ZubeirAbusheikh

    Wanawake kuolewa sio bahati ila ni lazima muolewe

    .... mkuu umenena ... wanawake hawataki kuolewa siku izi at the end of the days wanakujajuta tu ... iyo dhana yao ya eti mwanaume mwnyw mi sijampenda ndo inaowa cost ...
  9. ZubeirAbusheikh

    Wanaume komeni kututisha

    .. punguza jazba kwanza.. then elewa kua mwanaume ndo muoaji ... ukiwa na jazba ukaleta jeur na kiburi at the end of the moment utakosa mume ... marital status yako haitobadilika mpk utajuta ... so you should be careful men always will be men ... Ndivyo ilivyo ...
  10. ZubeirAbusheikh

    Mume aliyekuacha, akikuingilia kimwili talaka inabatilika?

    ... hapo mnakua mmezini ... laiti kama ingekua talaka moja(talaka rejea) ktk kipindi icho mume akihitaji tendo la ndoa ukampa inamaana mmesharudiana ... ila talaka tatu mpk uolewe na mume mwingine ukiachika ndo anaruhusa ya kukuoa tena ... otherwise utakua unazini ...
Back
Top Bottom