Recent content by zozombla

  1. zozombla

    John Heche: Tangu lini familia ya sisi Wabunge inatuma maombi Serikalini kwenda kutibiwa?

    Hili jambo rahisi sana tatizo kila mtu analichukulia kimahaba pengine hata mimi! Nafikiri kwa sababu familia ya lisu iliamua lissu atibiwe nairobi na sio kwa utaratibu wa serikali nadhan ni busara familia ya lisu kusema ikiwa wanahitaji msaada wa serikali ambao mwanzo waliukataa! Ama tunataka...
  2. zozombla

    Ndugai amjibu Lema; Asema matibabu ya Lissu yameenda kinyume na taratibu za Bunge

    Cjakuelewa kabx nadhani uko kwny majaribio ya uandishi
  3. zozombla

    DAR: Mkuu wa Mkoa atengua agizo la Polisi kuhusu kutoa 'tinted'

    Duuuuuh Sent using Jamii Forums mobile app
  4. zozombla

    Kodi ya ACACIA yapungua asilimia 45

    Kupungua mapato kwa asilimia zote hizo kisa makinikia! Makinikia si ni nyongeza tu!!!? Mfano ukinunua kopo la mkaa anakupa na chenga kidogo! Kwel tumepigwa Sent using Jamii Forums mobile app
  5. zozombla

    Msuva hana muda mrefu atarejea Nyumbani

    Hata ulaya usajili kibao huwa unabuma haitakuw ajabu... Lukaku, depay, macheda, shevshenk, chamakh, podolski,torres , falcao wot walibum maisha ni kujarib mzee Sent using Jamii Forums mobile app
  6. zozombla

    Msuva hana muda mrefu atarejea Nyumbani

    Duh braza kuwaga hata mnafiki bas si kwa hizo roho mbaya!! unataka kutwambia waliomhitaji hawajaonà uwezo wake??? Sent using Jamii Forums mobile app
  7. zozombla

    Nashauri timu ya Taifa isitoe wachezaji wanaocheza ligi.

    Duh bando lako hatukuchagulii cha kupost [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Sent using Jamii Forums mobile app
  8. zozombla

    TCU hamtaki wenye stashahada kwenye idara ya afya wajiendeleze?

    Solution ni kuondokana na UKILAZA tu! Kwa navyooona serikali haitaki wasomi wengi ngazi za juu! Degree minimum entrance kozi za afya ni CCD hyo ni div 1 ya 8 ndugu! Hiyo ngoma hata private wanafunz watapungua mana walikuw wanajaa wa div 2 na 3! Sent using Jamii Forums mobile app
  9. zozombla

    Onyo kali kwa vijana wanaotarajia kujiunga na vyuo vikuu nchini Tanzania!!

    Kuhusu hyo commission naona vyuo vyote vinakata ushahid from udsm Post sent using JamiiForums mobile app
  10. zozombla

    Onyo kali kwa vijana wanaotarajia kujiunga na vyuo vikuu nchini Tanzania!!

    Rais wenu wa chuo nimemsikia you tube anajisifu kapambana na hizo changamoto!! Ama ni mmiliki wa ile maiki iliyomuhoji?? Poleni sana Post sent using JamiiForums mobile app
  11. zozombla

    JF doctors msaada juu ya blood groups

    Zaidi ya 85% ya binadam ni rhesus + kama ilivy kwenu shida kidogo hutokea endapo mama atakuwa nega(-) na baba + tena mara nying ni kwa ujauzito wa pili! Na dawa zipo kuzuia hatar hiyo Enjoy maisha mzee! Post sent using JamiiForums mobile app
  12. zozombla

    Anachotafuta Makonda ni laana, anafokea maafisa Elimu

    Kijana kama yeye kujitengenezea maadui kwa kuwaonea hata sio poa! Nilisomaga mahala kwamba! A good leader must hv both leadership and management skills! Makonda hana leadership skills. ANAFORCE TU VITU ILIMRADI AONEKANE
  13. zozombla

    Anachotafuta Makonda ni laana, anafokea maafisa Elimu

    Kazingua xn bora basi hata angezuia asirekodiwe ili awaonyeshe hiyo hasir yake! Ila anavyopenda kiki kafanya maksudi kabixa! Hana maumivu na matokeo mabaya ila ana haha kupata kiki tu!
  14. zozombla

    Hawa ni wachambuzi bora wa mpira kwa sasa Tanzania. Pongezi zao

    Magic fm hawan mpinzan baba george ni noma!
  15. zozombla

    Hivi kitendo cha ndege kutoka mbali kuchukua majeruhi ambao Rais wao hawajui, imekaaje hii?

    Hizi hasira zako ukizitumia kwenye mambo ya kimaendeleo utafika mbali. Uwakilishi upo usikaze akili hoja za kwnn hakwnd mwenyew wawez toa utakavy na ukalia sana ila ujue tu sio lazima yeye kwenda. Au liko kwenye katiba kwamba kavunja sheria?? Hah hah
Back
Top Bottom