Kama upo tayari kushare na jama basi baki naye ila it's pain kwa moyo wa ujasiri unatakiwa kuacha naye kabs nilicho gundua wwe una mpenda wife ila wife amependa sehm nyingin utapata shida sna na hilo...you have to let her go kwa baht mbaya wife ajititambui kabs.
Serikali imetoa but ukisema JPM una zungumzia mtu moja nje ya Serikali ambaye na resources zake binafsi ana toa msaada tu kwa mfuko binafsi basi kama ni mfuko wa uma kwa ajili ya maendeleo itumike serikali imetoa
Gain nikitu ambacho ume receive but balance ina jumuisha gain zako zote ulipo upgrade ulitumia balance yako na pia ukifanya mauzo ya Dollars kwa mtu ina change balance but gains ipo constant
Nimeipenda idea yk siku zote ktk maisha ukifika mahali kila mtu ana kuona chizi b'se ww una misimamo wako kama ni kweli simama kwelikweli pia usikubali kuyumba kwa sababu hiyo ndo salama yako ila kama una simamia kwa kitu ambacho hukijuw basi wwe ni chizi kwelikweli
*Bitclubadvantage inautofauti gan na des!*
*1*: des ilikuwa na mfumo wa pyramid lakn ikiwa na lengo kuu la poze scheme. What is poze scheme- hii ni mufumo wa kukusanya pesa na kulipa ili kuvutia watu wengi sana, mwisho wa siku mkiwa wengi system zinaponse, kusimamishwa. Ni rahs na wanatoaga...
*Sna shaka mko salama kabisa ndugu zangu*
*Kwa muda mrefu watu wameshindwa kuitofautisha BITCLUB ADVANTAGE NA D9 na hvo kuwa na hofu ya kujiunga na bitclub kwa hofu ya kutapeliwa kama ilivyowatokea kwa D9 clube*
nimejaribu kupitia sehemu mbali mbali ili kuijua D9 na nimegundua kuwa...
IMEANDALIWA NA *R.M - Professor of psychology Ohio state University-USA:
Anaanza kwa kusema......"Mwanaume anaweza kuchepuka na bado akawa na upendo wa dhati kwa mke wake lakini mwanamke hawezi kuchepuka na akaendelea kumpenda mume wake kwa dhati.Nasema hivi kwasababu mwanaume hafanyi tendo la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.