Recent content by Zombi Mweusi

  1. Zombi Mweusi

    Waziri Joel Nanauka vitabu vyako na kuongea kwako sasa hivi ungemzidi Modewiji kwa utajiri ila sivyo ndivyo

    Nashaangaaga watu wanamsifia wakat maisha yamemshinda kakimbilia siasa
  2. Zombi Mweusi

    Taifa stars ya mama ipigwe kipigo cha mbwa koko

    Piga mbwa hizo na mama yao
  3. Zombi Mweusi

    Shilole: Watanzania wasitununuie wasanii, tutakula wapi? wachukulie imepita

    Yaan atakaejichangany atakula chupa za kutosha stejini
  4. Zombi Mweusi

    Shilole: Naanza kupikia nyumbani Sasa hivi 'Inaniumiza sana'

    Akili za kitajiri asingekuwa ccm huoni wenye biashara zao kina no na azam hawana muda na hayo madudu mtoto wa bakresa kapewa cheo ila hakuwahi kukitumikia akili za kimaskini zipo kwenye siasa na ajira
  5. Zombi Mweusi

    Shilole: Naanza kupikia nyumbani Sasa hivi 'Inaniumiza sana'

    Na chakula chake tunaenda kukisusia atamwaga hadi
  6. Zombi Mweusi

    Sasa imetosha! Tupinge ukamataji kwa wote wanaoikosoa Serikali

    Nimejiridhisha Tlaatlaah na Lucha ni mtu mmoja
  7. Zombi Mweusi

    FT' Simba SC 0-2 Azam FC | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium | Desemba 07,2025

    Ila nashukuru Uzi kama haufatilowi naanza kuamini kizazi kimebadilika
  8. Zombi Mweusi

    Vita hivi ndugu zangu Gen Z siyo rahisi kama tunavyofikiria

    Haijarishi tutashindwa Mara ngapi ila kadri tutakavyojaribu ndio tutaheshimiana
  9. Zombi Mweusi

    PostGE2025 Rais Samia atangaza Baraza la Mawaziri na Manaibu waziri

    Anatamani kuanza ila anaogopa majibu ya Tanzania
  10. Zombi Mweusi

    PostGE2025 Rais Samia atangaza Baraza la Mawaziri na Manaibu waziri

    Baraza fake linaendwa kutangazea
Back
Top Bottom