Muda utasema... Uongo una mwisho, CHADEMA wanauhadaa ulimwengu kuhusu issue ya Lissu. Lakini kilichotokea kinajulikana na hao Viongozi wao wanaujua ukweli lakini baada ya mambo kuwa kinyume tukio hilo limegeuzwa kuwa mtaji. Naamini hata Lissu mwenyewe anajua lakini hana ujanja kwake imekua...
Lissu kajiwekea uhalali wa kuongea chochote huku akitegemea International Mercy kwamba ana watetezi wengi. Katika political arena ni sawa ila kwa nchi Kama Tanzania ambayo imekua inanyonywa miaka mingi tungependa mtu anayekuja na "SERA TATUZI" za mikwamo yetu ya kimaendeleo.
Anachuku cheap...
Ni kweli, vijana wapewe nafasi ila kipaumbele kiwe uwezo wa mtu katika kutenda. Kigezo cha umri tu hakiyoshi badala yake waangalie watu wenye uwezo wa kuwaletea wananchi maendeleo
Rais wa Kenya amefunga mipaka ya nchi yake upande wa Somalia na upande wa Tanzania kwa siku 30. Ni hatua nzuri na ya kishujaa ila sijui hali itakuaje kwa wale wananchi wanaotegemea mipaka hiyo kuendesha maisha yao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Corona ni Kama fumbo, ambalo limemchanga kila mtu. Hakuna aliye na uhakika. Karidi ya vyanzo mbalimbali yule Mshirikina wa Sumve (Richard Ndassa) chumba alichofia kulikua na majani ya kujifukiza ila haikusemwa wazi wazi alikufa kwa ugonjwa gani. Mingine Vinyungu vitumike, mwingine dawa kutoka...
CHADEMAAAA!!!!!
Acheni kuhadaa watu, kwa utoto huo usio na demokrasia ndani yake, Ikulu kwenu itakua ni ndoto ya kudumu ambayo haitakuja kuwa kweli. Endeleeni kubadilisha gia hewani alafu mseme Ikulu mtaiona.
- Dalili ziko wazi hivyo mjiandae, kwa mwakani mnaweza msipate hata Jimbo moja la...
Bado hatujapata mtawala tunayetakiwa kuwa naye, baada ya Uhuru tumekua na msururu wa wapigaji. Pamoja na hayo kwa haya yanayotendeka awamu hii yanafunua jinsi gani awamu zingine zote upigaji ulivyokua umeshika hatamu. Afadhali tuzione kodi zetu kupitia miradi feki ya madaraja, ndege, umeme...
Askofu Nyaisonga ni Askofu wa Jimbo la Mbeya na sio msemaji wa kanisa katoliki Tanzania. Ingekua ni kauli ya kanisa nzima la Tanzania kauli hiyo ingetolewa kipitia waraka na sio Kama alivyofanya. Inawezekana yakawa maoni yake binafsi.
Hata hivyo asingepaswa kuongea lolote kutokana na uongo wa...
Tafali tuelewe... Kanisa linatoa waraka katika matukio makubwa ya kikanisa Kama Kwaresima na Majilio ila sio kila wakati eti kwa vile fulani kajitoa kwenye uchaguzi. Bado Kuna uthabiti katika kanisa na watendaji wake unakumbuka waraka wa Kwaresima mwaka jana ulivyoleta gumzo, na walisema ukweli...
Mahiga ni ngumu, Mhehe wa Tosamaganga mpaka Zanzibar ni mbali sana. Possible candidates
1. Hussein Mwinyi
2. Mama Samiha
3. Prof. Mbawara
4. Ali Karume
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.