GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,516
- 108,795
Niliwahi kuambiwa kuwa ogopa sana Kujifanya Mjeuri na Mbabe hasa kwa Mtu ambaye si tu anakujua lakini pia anakumudu vilivyo hasa Kimkakati.
Kama Kanali (mst.) Kinana ameomba msamaha, itakuwaje mtu wa usalama wa taifa ( Membe) ashupaze shingo?Inahitaji akili nyingi kuzielewa akili za huyu popoma.sijaelewa kitu kabisa.
Ok mkuu sikujua kama kuna mtu kaomba msamaha.Kama Kanali (mst.) Kinana ameomba msamaha, itakuwaje mtu wa usalama wa taifa ( Membe) ashupaze shingo?
~ Mbona mada IPO uchi wa mnyama kabisa mkuu.Inahitaji akili nyingi kuzielewa thread za huyu popoma. Sijaelewa kitu kabisa.
Wanajaribu trick ya ccm 2015, watafuata na wengine wengi tu kutangaza nia.Bado sijaelewa Msigwa mahesabu yake hapa
Huwezi shindana na mtu ambaye maisha ya watu ili yasogee inategemea maamuzi na utashi wake.Niliwahi kuambiwa kuwa ogopa sana Kujifanya Mjeuri na Mbabe hasa kwa Mtu ambaye si tu anakujua lakini pia anakumudu vilivyo hasa Kimkakati.
Lipopoma katika ubora wake na nyakati za giza bila nuru ndio maana kuna watu hawajaelewaNiliwahi kuambiwa kuwa ogopa sana Kujifanya Mjeuri na Mbabe hasa kwa Mtu ambaye si tu anakujua lakini pia anakumudu vilivyo hasa Kimkakati.