Nipende kuipongeza serikali katika jitihada zake za kuboresha huduma za Usafifi wa Mabasi ya Mwendokasi Dar (DART).
Hivi karibuni DART wamefanya ukarabati wa vituo vya mwendo kasi kwa kuweka mifumo ya ukataji tiketi kwa kutumia Kadi ambapo kadi hiyo ni Kwaajili ya DART Tuu inauzwa Tsh 5000...
Yani kama hii ya Two wife ya Azam mpaka natamani iishe maana inaninyima raha nashindwa hata kuchangia mada, halafu utakuta mchepuka anakupigia simu yani mwenzenu, sasa hivi napenda taarifa ya habari tuu.
Yani tumetoka kusuluhishwa ukweni suala langu la kuchepuka ila tunarudi nyumbani tunawasha TV tu tunakuta tamthilia halafu mwanaume ana wanawake wawili na ana mtoto nje halafu mke wake hajui. Yani hapa nishanuniwa tena.
Nafikiri Leseni ni kigezo cha kumtambua dereva kama anakibali cha kuendesha gari husika maana kutokuwa na leseni au kuwa na leseni ambayo haiendani na gari unayoendesha pia ni kosa.
Siku zote watanzania tunadhani maisha ni rahisi kama tunavyofikiria na sio uhalisia wenyewe, Hakuna tajiri wala mtu maarufu yoyote wa Tanzania alijiunga na hawa Qnet kwanini? Kwani wao hawataki kuwa matajiri zaidi!! Huu ni utapeli tanashati ambapo kila mjinga anampeleka mjinga mwenzie ili kukuza...
Hivi SUMATRA wanapokuja na zuio la mazungumzo ya siasa na dini kwenye mabasi wametizama ile ibara ya 18 ya Katiba ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania na vifungu vyake vyote.
Yote na yote bado yupo kwenye siasa za Tanzania, afandali angesema ameachana kabisa na suala la siasa, na kuamua kuafanya mambo mengine binfsi, kweli vyuma vimekaza yani kuhama ndio habari ya mjini haijalishi unapotoka wala unapokwenda chamsingi kuhama tuu tuji re-brand kisiasa.
Nikisoma vizuri hizi comment nagundua ndani yake kunamajeshi yote yanachangia mada, yote na yote majeshi yote ni kwaajili ya ulinzi na usalama wa nchi na raia wake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.