Wewe ni kajinga, nani kakuambia thrombosis ndio major complication ya Corona?
Alafu nani alikufundisha thrombosis, thrombosis inatibiwa kwa vitamin C?
Halafu "underliming" conditions nini? Ulitaka kuandika "underlying"?
Tuishie hapo husinipotezee muda.
Na wewe tuliza akili ufikirie kama Tanzania ingekua inapima na ku document watu wanaokufa na Corona hizo inchi zingekua afadhali.
Mnadanganywa na "media blackout" na kudhani eti hapa tumedhibiti ugonjwa, huu ni ujinga wa hali ya juu.
Watu wanapata ugonjwa bila kua documented, wanakufa bila kua...
Ushubwada tu, kwani nchi inashidwa kufanya vetting kuhakikisha supplier wa chanjo ni genuine?
Dawa zote na chanjo zote, Zina changamoto za counterfeiting,hata ARV, ALU na nyinginezo zinachangamoto hizo ila hatujawahi kusema hazifai na tusiagize.
Hivyo kukamatwa kwa chanjo feki kusiwe...
Elimu ya Tz, kuanzia form one mpaka PhD iko kwa kiingeereza. Na PhD za Tz lazima zifanywe kwa Kiingeereza except PhD ya kiswahili.
Hivyo ni kitu abnormal kwa kwa mtu kumaliza PhD hajui Kiingeereza cha kuongea au anaongea hovyo.
Hata kama ni PhD ya kemia, bado hiyo kemia Katika usomaji na...
Wewe ni mpumbavu unae andika ku justify upumbavu wa wenzio. Hujui chochote kuhusu mambo ya chanjo China.
China wako keen kuanza kutoa chanjo, wamesha develop chanjo yao inaitwa BBIBP-CorV iliyo tengenezwa na kampuni ya Sinopharm tangia December mwaka jana.
Hawapapatikii chanjo za magharibi...
May his soul RIP.
Huyu Mzee alikua moja ya waumini diehard wa Meko, mwaka 2015 tukiwa kidato cha sita Bwiru Boys, alikua akitulazimisha twende kwenye mikutano ya CCM.
Muda mwingine alikua akitukuta wanafunzi tumekaa, anaanza ku bragg kuhusu sentiments na sera za Magu na CCM, kama ananipigia...
Hizo ni orders ambazo ziko kwenye mafaili zitakuja kua revised. Sio kwamba sababu kaondoka ofisini basi yameisha.
Na utawala ambao utakua mkali zaidi kwa wakiukaji wa demokrasia ni huu wa Biden. So don't think kuwa hayo maamuzi yatukua reversed.
Yanaweza kutiliwa mkazo na kuongezewa vikwazo...
Tanzanians, psychopathic egomaniacs who keeps on slamming other countries while their own backyard is on profound mess.
Watanzania hebu tuacheni maneno, let's resolve our very own shit first before we turn our eyes somewhere else. We still have a long way to go.
Disclaimer; I'm a de facto...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.