Oya nakupa hii chukua ,kama umepima uko salama ,fanya ufanyalo mshawishi akapime iwe Kwa kudanganya au laaa,hakuna chakutumia dawa vizuri au nn ukipata umepata ,hiyo inshue kwamba kuna watu hawapati ni 1% Ndani ya milioni 60 ,subili mwezi uishe ukapime tena Ndani ya miezi mitatu ,inawezekana...