Latra hawana uwezo wakuyafungia hayo mabasi kinachofanyika ni kiini macho tu mpo mtaniambia hazipiti siku tatu wataluwa load, maadhi ya maafisa wa latra wanajua kuwa new force ni mbia mwenzao wana kula nae.
Sasa Kama ulikuwa hujaukamilisha uchunguzi wako ya nini kutuletea habari ambayo hata wewe mwenyewe huna uhakika nayo?
Kwa taarifa yako hata Iramba kuna akina Makala pia , angalia usijekimbia uzi wako mwenyewe.
[emoji23][emoji23][emoji23]et elements [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.