Recent content by ziba

  1. ziba

    Mwanaume asiye na uwezo wa kupata mtoto anahitajika

    Najua wakati unaopitia lkn shauku yako isikufanye ukafanya Jambo ambalo litakuja kucost, Ni vzr ukatafuta mume tu lkn watoto uwaambie ukweli.
  2. ziba

    Wakuu wa shule za sekondari nchi nzima Tanzania wamchangia Rais pesa za form ya kugombea Urais mwaka 2025

    Big up kwa wakuu wa shule wenzangu. Tunajitambua na tunajua tunacho kifanya.
  3. ziba

    Mabasi 38 ya kampuni ya New Force yapigwa stop na LATRA kusafiri usiku, kuanza huduma saa 12 asubuhi

    Latra hawana uwezo wakuyafungia hayo mabasi kinachofanyika ni kiini macho tu mpo mtaniambia hazipiti siku tatu wataluwa load, maadhi ya maafisa wa latra wanajua kuwa new force ni mbia mwenzao wana kula nae.
  4. ziba

    Ninunue gari gani kati ya Toyota IST na Toyota Premio?

    Kuna king zumarid lkn au umesahau?
  5. ziba

    Kama Paul Makonda alifoji jina na cheti basi mchunguzeni na Amos Makalla

    Sasa Kama ulikuwa hujaukamilisha uchunguzi wako ya nini kutuletea habari ambayo hata wewe mwenyewe huna uhakika nayo? Kwa taarifa yako hata Iramba kuna akina Makala pia , angalia usijekimbia uzi wako mwenyewe.
  6. ziba

    Makamu wa Rais, Dkt. Mpango akemea ndoa za jinsia moja

    Wataje acha kuuma uma maneno na kula kucha Kama kabinti ka miaka 14 kanatongozwa na mwalimu wake.
  7. ziba

    SOKO: Wanaohitaji kununua vitu used kwa bei ndogo pitieni hapa

    kapiti, chuma, benjaminy, k majaliwa,nkinga mpya,londony,mitundu2,mpyonko.
  8. ziba

    Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

    Acha kuwajibu wapumbavu hao wabaki na upumbavu wao.
  9. ziba

    Tunaomiliki usafiri na kukerwa na ambao tunawabeba lakini hawabebeki

    Mwenzio kasema elements wewe unasema helmet huoni Kama unamchanganya?
  10. ziba

    Tunaomiliki usafiri na kukerwa na ambao tunawabeba lakini hawabebeki

    [emoji23][emoji23][emoji23]et elements [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  11. ziba

    Rais Samia na Waziri Mkuu wanunua tiketi 4000 mchezo wa Tanzania vs Uganda

    Golini akikaa asha manula tu tufungwa
Back
Top Bottom