Baada ya placement za hal mashauri kutoka sasa ni dhahiri kuwa placement za wizara ya afya zilikuwa kutoka database!! Kwenye wizara watu hawakupangwa kutokana na machaguo yao. Lakini placement za halmashauri zimepangwa kulingana na machaguo ya mikoa ya waombaji!! Kwa mfano namfahamu mmoja...
Kanuni za PSRS hazikubaliani na hoja hiyo!! Mamlaka ya ajira iliyoomba watumishi ndio inapewa kipaumbele!! Kumbuka PSRS wanafanya kwa niaba ya waajiri!! hawawezi kubadilisha!! Waliopangwa wizara ya afya na taasisi zake hao ndo walikuwa na alama za chini!! Kitu kibaya kilichotokea ni kuita watu...
Tatizo la LGA ni usumbufu wa madiwani!! Pia hofu ya wakurugenzi kuhusu usalama wa nafasi zao!! Akitembelea kiongozi kwenye kata husika watumishi wote wa halmashauri lazima wawepo hata kama ni jumapili!! Kwenye mikutano ya hadhara watumishi hulazimika kujibu kero za wananchi papo kwa papo! Ole...
Timu ya wananchi tayari inahesabu kufikia kilele cha mafanikio kuingia hatua ya makundi! Kwa maono hayo ya kuku nawapa pole wanaosubiri ushindi! watasubii sana!
Lazima watu wakimbiane . Kuna waliojinasibu kama wadada kumbe ni mabibi! kuna waliojinasibu kuwa ni matajiri kumbe ni makapuku wa kutupwa! na mbaya zaidi kuna waiojinasibu kama mabinti warembo kumbe ni LGBT / mabwabwa, nk, nk.
Tusidangane! Ushoga siyo wa kurithishana! Hakuna aliyezaliwa akiwa shoga! Hakuna kinasaba cha ushoga! Kwenye genetic map ya mtu hakuna kinasaba cha ushoga! Kinachotokea ni kwamba mashoga wengine walinajisiwa na watu wabaya (watu wao wa karibu) tangu wakiwa watoto wadogo, hivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.