Nakupa hongera walau unaelewa kinacho endelea.
Siyo wale punguani wanao kimbilia kusifia mauaji ya hovyo hovyo eti ni taifa la Mungu, sijui mataifa mengine huwa ni ya shetani au nani.
Mpaka sasa aslimia zaidi ya 75 % waliouwawa ni raia wa kawaida na siyo HAMAS.
Kibaya zaidi ni kwamba...
AIsee...kumbe kuna watu wameumizwa sana sikuwahi kujua.
Any way, najaribu kuangalia nani alikuwa na makosa hapo kati ya mkeo na kaka yako, nagundua kuwa wote wana makosa, ila mkeo ana makosa zaidi.
Nasema mkeo ana makosa zaidi kwa sababu sisi wanaume hutamani tu mtu yeyote akijiweka weka...
Mchina kazi yake ni ku-copy ama kuiba kwa hao hao wama gharibi.
Lakini pia jiulize swali moja, kwanini sasahivi Marekani na ulaya wanaweweseka dhidi ya mchina.
Huyo mchina ana nini hadi waweweseke ?
Sasa sera za Marekani na umoja wa ulaya ni "kukabiliana dhidi ya kitisho cha china"
Huyo...
Maybe 😁😁😁
Lakini mimi nilizungumzia kwa singida na manyara.
Mkuu nitakuja pm unipe raman ya huko rufiji na mimi niende nikajaribu maana kitunguu kimeoanda sana bei mjini saivi
Heka ya vitunguu hiawezi kukupa gunia 60 mkuu.
KIkawaida ukifaulu sana heka itakupa gunia 40 au 45, au 50 kwa wanao loga 😅
Na ukifeli sana heka inakupa gunia 25
Ukweli mchungu ni huu :
1. Asilimia zaidi ya 98 % ya wafata dini za Ibrahim (Ukristo, uislam na Uyahudi/Judaism) hawajui kwa undani mafundisho ya vitabu vya dini hizo.
Nasema hivo kwa sababu, waumini wa hizi dini iwe maimamu, ma-askofu, rabi au waumini wa kawaida, ukiwauliza maswali kutoka...
Ndo hivo, mimi kuna mshikaji wangu alitoka mkoa flan kaenda KATAVI kulima vitunguu, amekaa huko mwaka mzima akiwa ameacha mke na watoto mkoa mwingine huku akiwa amewaambia kuwa anaenda kutafta.
Alikaa huko mwaka mzima, akalima vitunguu akavuna akauza akapata milion 5, akaja kupiga hesabu ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.