Recent content by Zero brainer

  1. Z

    Nahitaji kazi nipate laki 8 nadaiwa chuoni tokea 2021

    Ungeweka picha ako tuone kama unaniliuu..ya kutushawishi kukulilipia 😁😁😁 Natania bhan
  2. Z

    Ninachokiona kwa Israel ni kuchanganyikiwa na vita!

    Nakupa hongera walau unaelewa kinacho endelea. Siyo wale punguani wanao kimbilia kusifia mauaji ya hovyo hovyo eti ni taifa la Mungu, sijui mataifa mengine huwa ni ya shetani au nani. Mpaka sasa aslimia zaidi ya 75 % waliouwawa ni raia wa kawaida na siyo HAMAS. Kibaya zaidi ni kwamba...
  3. Z

    Mateka watatu wa Israel wakutwa wamekufa aibu kwa mashabiki wa Hamas na Ugaidi kwa Ujumla kazi inaendelea

    Wewe ni shabiki siyo mchambuzi hivyo sioni hata kama kuna watu watazingatia upumbavu wako
  4. Z

    Baada ya kufukuzwa kazi kaka yagu alitembea na mke wangu mpaka kumzalisha

    AIsee...kumbe kuna watu wameumizwa sana sikuwahi kujua. Any way, najaribu kuangalia nani alikuwa na makosa hapo kati ya mkeo na kaka yako, nagundua kuwa wote wana makosa, ila mkeo ana makosa zaidi. Nasema mkeo ana makosa zaidi kwa sababu sisi wanaume hutamani tu mtu yeyote akijiweka weka...
  5. Z

    Mtu unamuheshimu Kabisaaa lakini anatembea na mke wa mtu na anajua ni mke wa mtu

    Na mwanamke kwanini atembee na mume wa mtu wakati anajua kabisa ni mume wa mtu
  6. Z

    Wanafunzi 194 Momba wapewa mimba ndani ya mwezi mmoja: kazi iendelee

    Hivi kumbe wanafunzi wanaliwagwa, mimi najuaga ni mabikra wote 😂😂😂😂
  7. Z

    Hivi mchina ana technolojia gani ya kumsinda Mmarekani?

    Mchina kazi yake ni ku-copy ama kuiba kwa hao hao wama gharibi. Lakini pia jiulize swali moja, kwanini sasahivi Marekani na ulaya wanaweweseka dhidi ya mchina. Huyo mchina ana nini hadi waweweseke ? Sasa sera za Marekani na umoja wa ulaya ni "kukabiliana dhidi ya kitisho cha china" Huyo...
  8. Z

    Kilimo cha vitunguu kwa mikoa ya Singida na Manyara

    😂😂😂 Eti "hakuna utajiri wa halali na wa kudumu unaotengezwa ndani ya mwaka mmoja" 😂😂😂
  9. Z

    Kilimo cha vitunguu kwa mikoa ya Singida na Manyara

    Mimi ramani tu unitajie kijiji then research nitaenda kufanya mwwnyewe. Maana hapa nipo kisarawe tayari ila sijawa mwenyeji bado
  10. Z

    Kilimo cha vitunguu kwa mikoa ya Singida na Manyara

    Maybe 😁😁😁 Lakini mimi nilizungumzia kwa singida na manyara. Mkuu nitakuja pm unipe raman ya huko rufiji na mimi niende nikajaribu maana kitunguu kimeoanda sana bei mjini saivi
  11. Z

    Kilimo cha vitunguu kwa mikoa ya Singida na Manyara

    Heka ya vitunguu hiawezi kukupa gunia 60 mkuu. KIkawaida ukifaulu sana heka itakupa gunia 40 au 45, au 50 kwa wanao loga 😅 Na ukifeli sana heka inakupa gunia 25
  12. Z

    Je, Mwenyezi Mungu anaweza kutenda hivi?

    Ukweli mchungu ni huu : 1. Asilimia zaidi ya 98 % ya wafata dini za Ibrahim (Ukristo, uislam na Uyahudi/Judaism) hawajui kwa undani mafundisho ya vitabu vya dini hizo. Nasema hivo kwa sababu, waumini wa hizi dini iwe maimamu, ma-askofu, rabi au waumini wa kawaida, ukiwauliza maswali kutoka...
  13. Z

    Kilimo cha vitunguu kwa mikoa ya Singida na Manyara

    Ndo hivo, mimi kuna mshikaji wangu alitoka mkoa flan kaenda KATAVI kulima vitunguu, amekaa huko mwaka mzima akiwa ameacha mke na watoto mkoa mwingine huku akiwa amewaambia kuwa anaenda kutafta. Alikaa huko mwaka mzima, akalima vitunguu akavuna akauza akapata milion 5, akaja kupiga hesabu ya...
Back
Top Bottom