Ahsante sana, jambo la msingi ni Tanesco kuwa na KPI mteja akilipa afungiwe baada ya siku ngapi?
Sio jambo la msingi kila mtu aje aseme nimelipia lini au kutoa namba wakati system inaonyesha. Kama kuna shida toeni taarifa sasa hatupokei pesa hatuna vifaa sio kuwafanyia utapeli wananchi mwishoni...
Hiyo ni gharama kama hawataweka nguzo, maana yake uko umbali wa mita hamsini kutoka nguzo ilipo. Zaidi ya hapo jiandae kulipa mamilioni ndo upate huo umeme
Ile ni biashara why nilipie vifaa kama nguzo na nyaya alafu watu wengine waunganishiwe huduma na miundombinu iwe yao. Huo ni wizi wao kazi yao ni nini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.