hapo ndipo unapoona unafiki wa chadema na ukawa kwa pamoja....wananchi shid zetu wanazipinga lakin kwenye shida za matumbo yao wanazikubali na hata kutafuta point ili ziongezekee....wananchi tunawajuwa wabaya wetu ni akina nani na wapi ni wanafiki
hiyo ndo point ya msingi...kuna watu hawalali wanatafuta pesa na wengine wanafanya kazi ngumu mtu mwingine amekaa kupangia wengine matumizi ya jasho lake
mjini leo kugumu kama huna kwakwenda...kaamua kwenda mwanza kutuliza aibu na huku akipewa picha na mashabiki wake kile kinachoendelea mlimani daah noma sanaa
mdau pole sana hilo tatizo wanalo wengi na pia kuchoka mapema inaweza kusababishwa na tabia ya mkeo kwan wanawake walio wengi huwa na mchepuko so akirud home usiku anakuwa amechoka na pia inategemean kam hilo tatizo ni kila cku ama ni la cku na cku...kama lakila cku nakushauri mkamuone doctor
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.