Maelezo ni marefu naona uvivu kuandika maana sinaga muda wa kufafanua topic za siasa sana. Mimi eneo ambalo nina interest nalo sana na naweza kuandikia kirefu ni maswala ya mahusiano ya mapenzi,jinsia na familia huko huwa nafunguka sana.
Humu kwenye siasa sio sana hata kama jambo nalijua sana...
Hawahitaji u serious wa mwanaume hadi wawe wameshaharibu kila kitu hawana option rahisi hapo sasa ndio wanajua tofauti ya wanaume bangi na walio makini.
Hawa walikuwa wanachekewa sana. Ila dawa yao imeshachemka na ni muda wa kuwanywesha.
Una umri gani kwanza ? Maana nanusa hormones za bwana mdogo ambaye hata hajajua kutomba vizuri?
Umri wangu nina uhakika nikikutajia utazidi kukupa cha kuongea and that's where the problem is,u talk too much but lack focus.
Anyways,we are done here. Mtoto mdogo unifundishe kuhusu terrorist...
Usinichoshe. Wewe ndio uende shule maana kama umeshindwa kuelewa maana na matumizi sahihi ya neno terrorist halafu unakuja nisumbua hapa,who is uneducated hapa?
1. Terrorist ina maana hofu,so unakataa cartels huwa hawatumii vitisho kama mauwaji kujiimarisha.
2. Terrorist wanatumia silaha kama...
Dah kumanina😂😂😂😂 kwahiyo kwako gaidi ni mtu wa aina gani?
Au ninyi ndio wale mliomezeshwa matango pori kuwa magaidi lazima awe muarabu wa kislaam ?😂😂
Unajua hata maana ya neno gaidi? Gaidi ni mtu anayetumia hofu na vitisho kushinikiza jambo lake.
Cartels wanatumia hofu na vitisho kwa kutumia...
Cartels za mexico zinazouza madawa zinapoke funding kutoka Urusi na Iran na Qatar na cuba inahusishwa katika kutengeneza network hii ya uhalifu kuelekea Marekani.
Sema ni story complicated sana kuielewa.
So kwa hii point namba 6 sisi kama raia inatuhusu namna gani mkuu? You fuk with a dog you get them teeth. Walipokuwa wanaiba walijua ni pesa za urithi?🤔
This is the point of no return.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.