Recent content by Zemanda

  1. Zemanda

    JamiiForums Tanzania DC Mtatiro aingilia kati, msichana aliyetaka kuolewa badala ya kuendelea na masomo ya kidato cha 5. Wahusika wakamatwa

    Mnafosi aende shule,anakubali,anaenda five na six anaenda chuo,anaanza kulala la malecturer na wanafunzi,anamaliza mwaka wa tatu anarudi kitaa anakosa ajira anakuwa winger anakutana na mhuni wanapata mtoto anakuwa single mother,anafika hadi miaka 30 hana ramani anaishi maisha ya kubangaiza...
  2. Zemanda

    JamiiForums Tanzania Boda boda za mkataba na hesabu huwa zinawalipaje wamiliki

    Mngekuwa hamna tabia za kuropoka mngeonyeshwa sehemu za kuweka pesa yako na unapata returns za uhakika kati ya 25% hado 65%. Ila kwasababu ya uropokaji mkionyeshwa ulimbukeni wa mafanikio mnaanza kujitangaza mtandaoni hadi mnaharibia watu mifumo yao. Anyways,tuendelee kuishi kimkakati.
  3. Zemanda

    JamiiForums Tanzania Ndoa nyingi hazidumu kwasababu watoto wengi wazazi wao walikuwa mashangingi.

    Kuna watu huwa akili zao sijui zipo vipi. Unamuelezea kwamba kuna shida fulani na unamuonyesha ushahidi wa kuonekana ila bado atakuuliza swali la kichawi " Unatumia data au tafiti kutoka wapi". Swali huwa nauliza,je wazee wa kale walikuwa wanadadisi matatizo kwa kutumia tafiti za taasisi ya...
  4. Zemanda

    JamiiForums Tanzania Ndoa nyingi hazidumu kwasababu watoto wengi wazazi wao walikuwa mashangingi.

    Wewe unaandika kumpinga kwa kutumia Data au Tafiti zipi?
  5. Zemanda

    JamiiForums Tanzania Ukweli lazima usemwe Samia sio mbaya kiivyo na inawezekana hata October 29 yeye sio muhusika mkuu kwasababu yuko front page

    Kaa wewe hiyo nafasi yake basi ili ushambuliwe wewe. Unaona kwamba watu ni wajinga na vitu ni wanahadithiwa sio? Kumbafu.
  6. Zemanda

    JamiiForums Tanzania Siku ya mashujaa: Bi. Khadija Mkomanile aliyebatizwa na kupewa jina la Jacinta kisha akanyongwa

    Huyu mzee nadhani anapambana aina fulani ya mental health challenge sio mzima kabisa. Yaani ni religious fanatic m'moja asiyejitambua kwa level fulani.
  7. Zemanda

    JamiiForums Tanzania Njia ntakazotumia kuondoa squatter zilizotapakaa nchi nzima

    Yeye kama raia kwani anatakiwa kuwa nani ili kuleta mabadiliko?
  8. Zemanda

    JamiiForums Tanzania Mbona Stori ya Tanzania kupewa Bilioni 2.6 na Marekani imeripotiwa sana. Kuna nini?

    Hizo pesa zina program maalumu. Miezi kadhaa hapa nyuma bwana Changarawe alienda kushikana mkono na mabalozi wa trump kupokea maelekezo kuhusu maswala ya afya. Sasa nadhani yale makubaliano bajeti yake ya kutekeleza ndio hiyo.
  9. Zemanda

    JamiiForums Tanzania Walikuwa wanafurahia mauaji ya Mo29 wameanza kupata majibu Yao! Mungu hadhihakiwi

    Dhihaka ya kifo cha mtu si jambo zuri. MUNGU alikataza. Mtu anayesheherekea msiba wa mtu asiye na hatia anajiingiza katika laana ya moja kwa moja na anatengeneza mikosi katika maisha yake ya baadae.
  10. Zemanda

    JamiiForums Tanzania Router za Airtel Unlimited Internet inakikomo. 500GB baada ya hapo wanalimit speed vibaya sana!

    Vodacom, tigo, halotel au zuku. Airtel ni takataka
  11. Zemanda

    JamiiForums Tanzania Router za Airtel Unlimited Internet inakikomo. 500GB baada ya hapo wanalimit speed vibaya sana!

    500GB ili kuzimaliza unakuwa umedownload nini sasa file la Epstein na P. Diddy freak-off party au? Halafu kwa mtu mwenye akili tasilimu, Airtel sio kampuni ya kuwafanya ISP kwaajiri ya shughuli zako muhimu.
  12. Zemanda

    JamiiForums Tanzania Aisee usimchukulie poa mwanaume anaeipitia ukata mkali tena unakuta ana wategemezi. Kama haujawahi kuwa level hii utamchukulia poa. Ukata unauma sanaa

    Ndio muwe na huruma sasa, vijana wa watu wanahangaika na maisha msiwape vidonda vya tumbo kwasababu ya stress za mapenzi. Muwe tu na ubinadamu na mruhusu waweze kufurahia midinyano bila kuwa na pesa nyingi.
  13. Zemanda

    JamiiForums Tanzania Siku ya 2: Ulimwengu wa raha 😋: Hapo hapo, hivyo hivyo, usiache….

    Umalaya tu 😒
  14. Zemanda

    JamiiForums Tanzania Aisee usimchukulie poa mwanaume anaeipitia ukata mkali tena unakuta ana wategemezi. Kama haujawahi kuwa level hii utamchukulia poa. Ukata unauma sanaa

    Ila vijana especially wenye crown na Subaru hebu mjitahidi basi kuwa na huruma na akili za wanaume wenzenu wanaojitafuta. Furaha zao wamewekeza kwa hao wanawake mnaowavizia na kutaka kupita nao kisa mnamagari na hela za vocha. Hebu wapeni wenzenu utulivu wa akili kwa kukaa mbali na mademu zao...
  15. Zemanda

    JamiiForums Tanzania Baada ya Ufugaji kuku kunishinda Nataka nigeukie Sungura

    Hunilishi sungura mimi. Na nikikukuta unataka kumchinja nakupiga.
Back
Top Bottom