Tusije tukarudia kosa la kuachia watu wa hovyo meza za maamuzi ambayo matokeo yake yanaweza kutuathiri kama jamii.
Jambo lingine ni kuwekeza sana elimu ya uraia na kutoa ufahamu zaidi wa misingi ya mfumo wa demokrasia kwasababu ni wazi kuwa raia wengi hawajui nini maana halisi ya neno...
Napendekeza vyombo vya habari kuwa muhimili kamili kama mahakama au bunge. Vyombo vya habari vinatakiwa kuwa chini ya muhimili wake ambao hautaingiliwa na mbwa koko yoyote yule na viwe na uhuru wa kuandika ukweli wowote ule bila kuingiliwa na mamlaka au taasisi ambazo kwasasa ni wazi zipo...
Umezaliwa mwaka gani wewe?!🤔 2011 simu ya maana ilikuwa ni blackberry smartphones hizi za leo zilikuwa bado, mtandaoni ambao ulikuwa juu ni Facebook na haukuwa active kihivyo katika kushare taarifa. By then taarifa na umbea ulikuwa unapitia magazeti ya udaku Shigongo ndio alikuwa TikTok au...
Kazi yao ni kupewa posho na kuvaa yale mavazi kama kenge kazi yao wanayoijua ni kurukisha kichura chura raia wema kwa makosa ya kupuuza, ukiwauliza wanachofanya wenyewe hawaelewi.
Ila tumejifunza kwakweli. Kuanzia sasa umakini utaongezeka.
Ipo hadi sasa ila kwa corporate officials sana ndio utaona. Nenda katika page yao utaona simu zimewekwa ila wanaprogram ya kuziuza kwa mkopo kwa wateja wanaochukua kwa mkopo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.