Mnafosi aende shule,anakubali,anaenda five na six anaenda chuo,anaanza kulala la malecturer na wanafunzi,anamaliza mwaka wa tatu anarudi kitaa anakosa ajira anakuwa winger anakutana na mhuni wanapata mtoto anakuwa single mother,anafika hadi miaka 30 hana ramani anaishi maisha ya kubangaiza...
Mngekuwa hamna tabia za kuropoka mngeonyeshwa sehemu za kuweka pesa yako na unapata returns za uhakika kati ya 25% hado 65%. Ila kwasababu ya uropokaji mkionyeshwa ulimbukeni wa mafanikio mnaanza kujitangaza mtandaoni hadi mnaharibia watu mifumo yao.
Anyways,tuendelee kuishi kimkakati.
Kuna watu huwa akili zao sijui zipo vipi. Unamuelezea kwamba kuna shida fulani na unamuonyesha ushahidi wa kuonekana ila bado atakuuliza swali la kichawi " Unatumia data au tafiti kutoka wapi". Swali huwa nauliza,je wazee wa kale walikuwa wanadadisi matatizo kwa kutumia tafiti za taasisi ya...
Huyu mzee nadhani anapambana aina fulani ya mental health challenge sio mzima kabisa. Yaani ni religious fanatic m'moja asiyejitambua kwa level fulani.
Hizo pesa zina program maalumu. Miezi kadhaa hapa nyuma bwana Changarawe alienda kushikana mkono na mabalozi wa trump kupokea maelekezo kuhusu maswala ya afya.
Sasa nadhani yale makubaliano bajeti yake ya kutekeleza ndio hiyo.
Dhihaka ya kifo cha mtu si jambo zuri. MUNGU alikataza. Mtu anayesheherekea msiba wa mtu asiye na hatia anajiingiza katika laana ya moja kwa moja na anatengeneza mikosi katika maisha yake ya baadae.
500GB ili kuzimaliza unakuwa umedownload nini sasa file la Epstein na P. Diddy freak-off party au?
Halafu kwa mtu mwenye akili tasilimu, Airtel sio kampuni ya kuwafanya ISP kwaajiri ya shughuli zako muhimu.
Ndio muwe na huruma sasa, vijana wa watu wanahangaika na maisha msiwape vidonda vya tumbo kwasababu ya stress za mapenzi.
Muwe tu na ubinadamu na mruhusu waweze kufurahia midinyano bila kuwa na pesa nyingi.
Ila vijana especially wenye crown na Subaru hebu mjitahidi basi kuwa na huruma na akili za wanaume wenzenu wanaojitafuta.
Furaha zao wamewekeza kwa hao wanawake mnaowavizia na kutaka kupita nao kisa mnamagari na hela za vocha.
Hebu wapeni wenzenu utulivu wa akili kwa kukaa mbali na mademu zao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.