Recent content by Zemanda

  1. Zemanda

    Kufilisika kwa Sahara Media: Kodi kubwa za TRA zinaua Biashara au ni Usimamizi Mbovu wa kina Diallo?

    Biashara ya media house miaka hii unatakiwa kuifanya kwa mbinu sana.
  2. Zemanda

    Vita ya Urais 2030, itawatoa roho Mwigulu Nchemba na Emmanuel Nchimbi

    Baada ya yaliyotokea October 29 bado CCM mnajadili maswala ya uongozi?🤔 Hiki chama mna matatizo ya akili by majority sio bure.
  3. Zemanda

    KERO Je, UTT AMIS kuna kitu kinafichwa bila sisi wanachama kujua?

    Kuna haja ya kuja na sheria kali za kulinda privacy 🔏 na autonomy ya matakwa ya mteja katika taasisi za kifedha. Naona kwa sasa tuna tatizo la watu wa serikalini kucheza na akili zetu. Mtu anachukua taarifa za mteja anaziweka rehani anavyotaka. Hivi wao wakifanyiwa hivyo watajisikiaje...
  4. Zemanda

    Hoja: Utaratibu wa Mahari unatakiwa ufutwe, jamii ibadilike...!!

    Yaani tutoe utaratibu wa mahari kwa sababu ya maamuzi binafsi ya watu fulani fulani? Mahari haijawahi kuwa tatizo,si tatizo na haitakuja kuwa tatizo kwasababu ni utaratibu wa mila na desturi zetu kama waafrica. Tatizo lipo kwa muhusika ambaye anakwenda kulipia mahari mwanamke mwenye historia...
  5. Zemanda

    Madeni yamenizidi sababu ya uraibu wa kubet, sijui cha kufanya nisaidieni

    Watu wenye hekima zao walipokataza kucheza kamali na kuiharamisha sio tu kwamba walikuwa wakikemea wewe kujipatia fedha kwa njia nyepesi ambayo itasababisha uwe na ajizi au uvivu kwenye maisha ya utafutaji,itakufanya kutokuwa mbunifu katika maeneo mengine ya kimaisha na kadhalika,ila pia waliona...
  6. Zemanda

    Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Zanzibar, Dkt. Rahma Salim Mahfoudh Ateuliwa kuwa Naibu Gavana wa BOT

    Unatoa fisi unaweka fisi, CCM yote ni yale yale majizi yasiyo na aibu. Watoke hatuwataki hawana jipya.
  7. Zemanda

    Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Zanzibar, Dkt. Rahma Salim Mahfoudh Ateuliwa kuwa Naibu Gavana wa BOT

    Narudia tena. Tanganyika ipo under attack. Huu muungano batili na takataka ndio changamoto yetu. Zanzibar ni taifa ambalo limekwisha declare sovereignty yake which means linatakiwa kujitegemea lenyewe. Sisi Tanganyika bado tunalewa story za miaka ya 1960 kusema kuna Tanzania na serikali ya...
  8. Zemanda

    Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Zanzibar, Dkt. Rahma Salim Mahfoudh Ateuliwa kuwa Naibu Gavana wa BOT

    Usiwaingize waislam katika upuuzi huu. Hao ni wazanzibari kushare nao dini sio hoja hata rangi tunashare nao. Swala ni kuwa kuanzia sasa hao tunatakiwa kudeal nao kama wazanzibari.
  9. Zemanda

    PostGE2025 Tanzania: Kikundi cha uasi kimeanzishwa tayari? Wanajiita Tanzania Freedom Fighters (TFF). Ni hatari sana

    Haya yote kosa ni kuweka mwanamke katika nafasi ya ukuu ambayo hatakiwi kukaa mwanamke hata iweje. Hii miaka tutajifunza kwa gharama. Marekani na kujifanya magwiji wa haki sawa ila akigombea mwanamke raia wanamkataa haraka sana. Sababu wanajua kuwa watarisk usalama wa taifa lao. Leo tumeweka...
  10. Zemanda

    Wenzangu Mabinti Sayuni: Mnawezaje Kuishi Single bila Kuanguka Dhambini?

    Haujaumbwa kuvumilia tamaa za mwili bali hayo ni matokeo ya kuchelewa kuolewa,kutokuwa na mume na kuishi katika ulimwengu wa vishawishi. Umri wa kuolewa ni kati ya 16 hadi 26. Chochote chini ya hapo ni ubatilifu juu ya hapo ni ubabaifu. Ukiolewa chini ya huo umri si sawa, ukiolewa juu ya huo...
  11. Zemanda

    Katumiwa pesa kimakosa na benki Tsh bilioni 2.68, Mahakama imemwambia ni either airudishe pesa au aende jela mwaka mmoja

    Mwaka m'moja mbona fresh tu. Naweza kukaa ndani miaka mitano nisipate hata milioni 10. Hapo mimi nitachagua huo mwaka m'moja ila nikitoka hiyo kesi tumemalizana. Sitaki tena kufuatiliana.
  12. Zemanda

    Nimeishi na mwanamke miaka mitatu bila kupata mtoto, nifanyaje

    1. Haujatuambia ulikutana na mkeo mazingira gani na akiwa na umri gani? Gari iliyotumika sana au aliyofanyishwa kazi ngumu ndani ya muda mfupi huwa inakuwa na changamoto za kiutendaji na higher maintenance costs. (Siongelei magari hapa). 2. Ninyi kwasasa mnajamiiana hamfanyi mapenzi. Mwili...
  13. Zemanda

    Watu wenye silaha nzito watauawa kwa kudunguliwa

    Punguza kukaa na maostadhi wa itikadi kali watakuharibu akili. Kaa na maostadhi wasomi utakuwa unatafakari kisawa sawa.
  14. Zemanda

    PostGE2025 Asenga: Rais kumteua mtoto wake (Wanu) imekuwa Nongwa; eti nchi imeuzwa. Hivi, mkimuangalia Abdul na wema wake ule, kweli anaweza kuuza nchi yetu?

    Hizi video na haya maneno vitunzwe. Tutakapoanza kuwaadhibu na kuwatenga kwenye jamii wasijekusema tunawaonea.
Back
Top Bottom