Kuna haja ya kuja na sheria kali za kulinda privacy 🔏 na autonomy ya matakwa ya mteja katika taasisi za kifedha. Naona kwa sasa tuna tatizo la watu wa serikalini kucheza na akili zetu.
Mtu anachukua taarifa za mteja anaziweka rehani anavyotaka. Hivi wao wakifanyiwa hivyo watajisikiaje...
Yaani tutoe utaratibu wa mahari kwa sababu ya maamuzi binafsi ya watu fulani fulani?
Mahari haijawahi kuwa tatizo,si tatizo na haitakuja kuwa tatizo kwasababu ni utaratibu wa mila na desturi zetu kama waafrica.
Tatizo lipo kwa muhusika ambaye anakwenda kulipia mahari mwanamke mwenye historia...
Watu wenye hekima zao walipokataza kucheza kamali na kuiharamisha sio tu kwamba walikuwa wakikemea wewe kujipatia fedha kwa njia nyepesi ambayo itasababisha uwe na ajizi au uvivu kwenye maisha ya utafutaji,itakufanya kutokuwa mbunifu katika maeneo mengine ya kimaisha na kadhalika,ila pia waliona...
Narudia tena. Tanganyika ipo under attack.
Huu muungano batili na takataka ndio changamoto yetu. Zanzibar ni taifa ambalo limekwisha declare sovereignty yake which means linatakiwa kujitegemea lenyewe.
Sisi Tanganyika bado tunalewa story za miaka ya 1960 kusema kuna Tanzania na serikali ya...
Usiwaingize waislam katika upuuzi huu. Hao ni wazanzibari kushare nao dini sio hoja hata rangi tunashare nao.
Swala ni kuwa kuanzia sasa hao tunatakiwa kudeal nao kama wazanzibari.
Haya yote kosa ni kuweka mwanamke katika nafasi ya ukuu ambayo hatakiwi kukaa mwanamke hata iweje.
Hii miaka tutajifunza kwa gharama. Marekani na kujifanya magwiji wa haki sawa ila akigombea mwanamke raia wanamkataa haraka sana. Sababu wanajua kuwa watarisk usalama wa taifa lao.
Leo tumeweka...
Haujaumbwa kuvumilia tamaa za mwili bali hayo ni matokeo ya kuchelewa kuolewa,kutokuwa na mume na kuishi katika ulimwengu wa vishawishi.
Umri wa kuolewa ni kati ya 16 hadi 26. Chochote chini ya hapo ni ubatilifu juu ya hapo ni ubabaifu. Ukiolewa chini ya huo umri si sawa, ukiolewa juu ya huo...
Mwaka m'moja mbona fresh tu. Naweza kukaa ndani miaka mitano nisipate hata milioni 10.
Hapo mimi nitachagua huo mwaka m'moja ila nikitoka hiyo kesi tumemalizana. Sitaki tena kufuatiliana.
1. Haujatuambia ulikutana na mkeo mazingira gani na akiwa na umri gani? Gari iliyotumika sana au aliyofanyishwa kazi ngumu ndani ya muda mfupi huwa inakuwa na changamoto za kiutendaji na higher maintenance costs. (Siongelei magari hapa).
2. Ninyi kwasasa mnajamiiana hamfanyi mapenzi. Mwili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.