Recent content by zelski

  1. zelski

    Wanaume mliopata wake wa maana wa kuoa, mliwezaje? Au mlijitoa tu ufahamu mkaoa

    Nilizani ni mimi tu napitia hii, , nilikuwa na options nyingi sana kipindi sijawa na habari ya kuoa, wanawake wengi wazuri na tabia safi nilikua sihangaiki kuwapata na wengi walikua tayari kuolewa kwa wakati ule sasa toka wazo linijie ni kama nishachelewa yani woote wa maana ni mwingine...
  2. zelski

    Mabinti hebu mjifunze ku normalize haya yafuatayo

    Hivi wanawake wanaonaga hizi threads, unaweza sema huyu mwadishi ni malaika , too wise and constructive. Hongera!
  3. zelski

    Ukiona dalili hizi kwa mwanamke wako achana nae atakusumbua mbeleni

    Safi sana , one of the best thread I ever seen here.
  4. zelski

    Howo Vs Scania

    Sijajua kama umewahi fanya biashara zote mbili na ukalinganisha Faida, uchakavu, na thamani ya gari kulingana na muda uliolitumia, kati ya tipa na semi au hata kipisi. Hela ya tipa ni ya matumizi ya hapa na pale lkn kama unajenga kampuni biashara ya tipa hunishawishi
  5. zelski

    Howo Vs Scania

    Huyu jamaa anaelewa kuhusu magari
  6. zelski

    Usimwamini mtu yeyote, pia nahitaji ushauri

    Inawezekana kabisa, maelezo kwenye document ya umiliki yatastate kabisa kuwa ni mali ya flani na flani ambao wanamiliki sawa au kwa asilimia flani flani kulingana na nyie mnavoshare hio mali
  7. zelski

    Mambo gani hupaswi kumfanyia mtu ambaye hujamuoa?

    Vyote visubiri ndoa tu hii kitu ya kuwekeza sehemu hupati faida ni ujinga wa hali ya juu, au La kila mtu apate kulingana na avotoa.
  8. zelski

    Mnanishaurije maana mimi sielewi

    Hii akili hii😂😂
Back
Top Bottom