Nilizani ni mimi tu napitia hii, , nilikuwa na options nyingi sana kipindi sijawa na habari ya kuoa, wanawake wengi wazuri na tabia safi nilikua sihangaiki kuwapata na wengi walikua tayari kuolewa kwa wakati ule sasa toka wazo linijie ni kama nishachelewa yani woote wa maana ni mwingine...
Sijajua kama umewahi fanya biashara zote mbili na ukalinganisha Faida, uchakavu, na thamani ya gari kulingana na muda uliolitumia, kati ya tipa na semi au hata kipisi. Hela ya tipa ni ya matumizi ya hapa na pale lkn kama unajenga kampuni biashara ya tipa hunishawishi
Inawezekana kabisa, maelezo kwenye document ya umiliki yatastate kabisa kuwa ni mali ya flani na flani ambao wanamiliki sawa au kwa asilimia flani flani kulingana na nyie mnavoshare hio mali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.