Usimwamini mtu yeyote, pia nahitaji ushauri

Usimwamini mtu yeyote, pia nahitaji ushauri

Hapa hapa nauliza ndugu wanasheria!

Je, kuna uwezekano wa watu zaidi ya mmoja mkanunua mfano gari au nyumba na majina yenu yote yakasomeka kwenye nyaraka za ununuzi? Mfano kadi ya gari au hati ya kiwanja au nyumba ikasoma majina ya wamiliki ziadi ya mmoja?

NB; Siyo mke na mme!
 
Ujifunza soma la maisha kwa gharama kubwa. Ninachoweza kukuambia ni kuwa wewe siyo mtu wa kwanza kufanyiwa hivyo, kwa hiyo usijione kama mjinga. Wengi tumekumbana na masaibu kama haya tena kutoka kwa ndugu achilia mbali huyo ni rafiki. Pamoja na kuwa utapata hasara (inavyoonekana) lakini hili ni somo la maisha ie. kwenye fedha usimwamini mtu yoyote. Andika hili. Pili achana kabisa na kitu kinachoitwa biashara ya ubia. Mtu mweusi kwenye biashara ya ubia ni mbwa koko, lazima akuume. Nimemaliza.
Cha kufanya: Ondoa aibu na huruma. Kusanya ushahidi wote halafu m-face jamaa uso kwa uso. Gari iuzwe na kila mtu achukuwe fedha yake.
Sio tu achukue chake baada ya gari kuuzwa! Lakini pia anayo haki ya kudai mgao wake wakati gari ipo kazini"
 
Mimi kwa sasa nafanya biashara, biashara yangu nitakuja mshirikisha mke wangu na watoto wangu tu. Nimeombwa saana kuingia ubia na watu ila nimegoma kufanya hilo kosa.
Uliposhika shikilia, ukiruhusu tu hawa binadamu kuingia basi hiyo ujue ndo "bye bye wahuni wangu"!
 
Hapa hapa nauliza ndugu wanasheria!

Je, kuna uwezekano wa watu zaidi ya mmoja mkanunua mfano gari au nyumba na majina yenu yote yakasomeka kwenye nyaraka za ununuzi? Mfano kadi ya gari au hati ya kiwanja au nyumba ikasoma majina ya wamiliki ziadi ya mmoja?

NB; Siyo mke na mme!
Inawezekana kabisa, maelezo kwenye document ya umiliki yatastate kabisa kuwa ni mali ya flani na flani ambao wanamiliki sawa au kwa asilimia flani flani kulingana na nyie mnavoshare hio mali
 
hakuna ila akiniruka ntamwachia, itabid nijilaum mwenyewe kwa upumbavu niliofanya
Pole sana mkuu,
kama hakuna hata mkataba au papers za kuonesha ushiriki wako wakununua hiyo gari basi kuna nafasi kubwa sana ya kutapeliwa mazima na huyo rafiki yako. Kuepuka kutapeliwa fanya hivi kama utaweza,

Kwanza, endelea kuwasiliana na rafiki yako kuhusu kuliuza gari jitahidi usioneshe emotions zozote, hii itampa kuamini hujui kitu. Pia wasiliana tena na yule aliyewauzia gari umwambie akae kimya asimwambie rafiki yako chochote kama wewe unajua gari inapiga kazi. Hii itasadia jamaa atakuwa kwenye zone ya kurelax na itakusaidia wewe kupata muda zaidi kutuliza akili, kupanga mashambulizi ukiwa unaelewa mchezo unaenda vipi

Pili, wakati unaendelea kuwasiliana na huyo rafiki tapeli, Omba likizo kazini au tafuta namna yoyote upate angalau wiki tu uchomoke kazini. Ukiweza kuchomoka kazini hata kwa wiki tafuta dereva anayeweza kuendesha iyo gari ongozana naye nenda mkoa gari lipo ulitafute kimya kimya bila rafiki yako kujua, ukifanikiwa kulipata gari hapo unabidi uwe mkuda kidogo weka sura ya kazi toa maelezo kuwa wewe pamoja na rafiki yako ni wahusika wa hiyo gari hivyo unalitaji uondoke nalo kwa muda huo, au utajua wewe nini cha kuongea hapo lakin hakikisha gari unaondoka nalo na dereva wako.

Tatu, ukiweza kuondoka na gari ukiwa na dereva wako nenda nalo mpaka mkoa uapopiga kazi sasa hapo utaamua wewe ukalifiche sehemu alafu ndio umchane rafiki yako kuhusu madudu yake. Ama unaweza kuamua kuwa na roho mbaya gari ipige kazi na pesa unachukua wewe tu, ama unaweza kuliuza wewe sasa alafu rafiki yako unampa pesa yake kistaarabu na wewe unachukua chako.

ZINGATIA.
hii utafanya yote ikiwa kama utaweza kumuaminisha rafiki yako kuwa ujui kitu na kuendelea kumuonesha trust kwa anachokwambia yeye.




sometimes you have to play a role of a fool to fool the fool who thinks is fooling you.
 
TAFUTA NAMNA NZURI MUUE TENA MUUE IKIWEZEKANA HATA MAITI ISIPATIKANE... UBAYA MALIPO NI HAPAHAPA DUNIANI, JIFANYE MWEMA UFE WEWE
 
Halafu kuna wajinga kibao humu wanashadadia~ga ujamaa ilhali hawajawahi kushea hata bakuli la uji na majirani zao.

KAMWE katu katu usije ukathubutu kushea (kufanya ubia) wa namna yyt ile hasa kibiashara /maendeleo katika maisha yako yote utaangukia pia.
Kuna mchina nilikutana nae kikazi kiwandan akamaliza muda wake akanambia anaomba nimpe dili la kuwekeza Ile gundi ya mbao kwao deal.tulishibana Sana maana anajua kiingereza ikawa rahisi kuwa washkaji.nikamuunga kuna jamaa wanamamisitu makubwa .sasa nikamwambia tuungane alikataa kata kata akasema nimpe dau la kuniunga .nkamsihi sana alikakataa nkataja mil 30 .akanipa mil 10 .siku kaniita kumalizia nkamuuliza why we are friends and u dont trust me? Akanijibu"My good friend 'The only' partnership is not meant for africans''
 
Biashara ya ubia wanaiweza waarabu wahindi na wazungu. Sisi wabongo tumejaa utapeli na wizi na unafiki na uzandiki na ufisadi na roho mbaya na uongo na utapeli na ufisadi na ushirikina na uchawi na ujuaji na uuaji
Ufisadi umetaja mara 2 futa moja
 
Omba ruhusa kazini nenda Kijiji husika kaione gari kama kweli inafanya kazi,ukifika ukimkuta lianzishe kwanini anakidanganya!

Kama hayupo mpigie mwambie aje site na ukikuta Kuna dereva mstopishe kwanza kufanya lolote Hadi jamaa arudi!!

Akupatie mwafaka was nini.kinaendelea,mwambie akupe million.kumi.usepe.la.sivyo.lipaki hadi mteja atakapopatikana!!
Ushauli mzur lakin haupo applicable kisheria,
Akikana umiliki wako wa gari utamfanya nn ikiwa card y gari kaandika kwa jina lake
 
umepata wapi nguvu za kuja kuandika hapa wakati kuna mali yako inazidi kuteketea mahali..... inuka uende GARI ilipo......ila jiandae kwa vita (MGOGORO) na mshirika wako.....makosa ya awali yatakukost mwishoni......kuna wakati katika maisha amua kuwa ROHO MBAYA na hasa wakati ukijitafuta......ukishajipata saidia yeyote utakaeguswa kufanya hivo.....pole bro...
 
Biashara ya ubia wanaiweza waarabu wahindi na wazungu. Sisi wabongo tumejaa utapeli na wizi na unafiki na uzandiki na ufisadi na roho mbaya na uongo na utapeli na ufisadi na ushirikina na uchawi na ujuaji na uuaji.

BTW usimwamini binadamu, mwamini Mungu atosha
Mkuu najifunza mengi kwenye mchango wako na nachukua tahadhari. Mtu mweusi hatari.
 
TAFUTA NAMNA NZURI MUUE TENA MUUE IKIWEZEKANA HATA MAITI ISIPATIKANE... UBAYA MALIPO NI HAPAHAPA DUNIANI, JIFANYE MWEMA UFE WEWE
Ndo haswa sasa hivi wanavyofanywa vijana wa kariako. Wengi wanapotezwa kwaajili ya dhulma.
 
Ila mleta mada kama umeshawahi kumdhulumu yeyote kwa chochote katika maisha yako potezea tu na songa mbele. Kwasababu wengi wanaodhulumiwa bongo tuseme wote nao wadhulumati katika nafasi zao wameshaliza. Kama ni hivyo muache jamaa aenjoy fuso naye atalizwa tu.
 
Biashara ya ubia wanaiweza waarabu wahindi na wazungu. Sisi wabongo tumejaa utapeli na wizi na unafiki na uzandiki na ufisadi na roho mbaya na uongo na utapeli na ufisadi na ushirikina na uchawi na ujuaji na uuaji
Ni kweli kwa waswahili hatujastaarabika bado
 
Hakuna haja ya kulemba omba ruhusa uipige bei na kubadilisha jina fasta upate chako mapema,,ashaingiwa na tamaa huyo watu sio wakuwaamini kabisa hata ndugu wadamu sio wakuwaamini kabisa
 
Back
Top Bottom