Recent content by Zeinthebigboss

  1. Zeinthebigboss

    Rais wa Zambia, Hichilema aalikwa Ikulu ya Marekani

    Kuitwa Ikulu Ya Marekani Ndio Peponi au nisehemu tu kama sehemu nyengine.? Tuache ushamba.
  2. Zeinthebigboss

    Simba Sports Club (Wekundu wa Msimbazi) | Special thread

    Takataka ni ajira na nifursa nzuri sana. Ndio maana Magari yataka yanapita mtaani kwenu kila wiki kukusanya Takataka.
  3. Zeinthebigboss

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Duniani kuna vingi vipo chini ya kapeti, bahati mbaya sana watu wanauchukulia poa sana mpira, ila mpira haujawahi kuwa poa kama tunavyodhani hata siku moja Zamani pesa ilikuwa kila kitu, lakini sasa licha ya kuwa pesa ni kila kitu lakini Ufalme wako utatambulikaje? Ikaja kuonekana mpira wa...
  4. Zeinthebigboss

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Hakuana jipya zaidi ya Upigaji pesa tu
  5. Zeinthebigboss

    Kwa heshima na taadhima, namuomba Mbowe ahutubie taifa live kupitia TV na redio

    dah kuna watu wanafors mambo hata..itambuwe sheria ndio uwongee mambo mengine. unajaza memory humu
Back
Top Bottom