Recent content by ZeeZoe

  1. ZeeZoe

    Ongezeko la vijana kujihalalishia mabinti wa watu bila ndoa

    Nimesoma comments nimegundua ni Mimi tu ndo naeishi bila ndoa..wengine wote aidha wameoana Au wana subir ndoa... Ila sijawahi kujutia sababu nina furaha na ninajua kwanini tunaishi hivi.
  2. ZeeZoe

    Naipenda Jumamosi yangu - Stori bomba ya uhusiano

    Sasa Mbona unazidi kupanic.. Relax dada.
  3. ZeeZoe

    Naipenda Jumamosi yangu - Stori bomba ya uhusiano

    Dada hua anapanic haraka.. Pole
  4. ZeeZoe

    Playlist ya nyimbo za kusikiliza wakati wa kugegedana

    1.Dive - usher Raymond 2.dance like we are making love-ciara 3.nichombeze -Aslay 4.good kisser -usher raymond 5.nampa papa -gigy money
  5. ZeeZoe

    Jifunze kutengeneza turban (Kofia) za wakubwa Na Watoto bila cherehani.

    Hello wapendwa mnaopenda kwenda na fashion.Ninatoa darasa online Kuhusu kutengeneza Kofia hizi zinazowapendeza Watoto na Akina mama. Hauhitaji cherehani, kinachohitajika ni Uzi, sindano, Mkasi mzuri na kitambaa. Darasa linafanyika kupitia What'sApp kila siku. Hata Wanaume mnaweza waunganisha...
  6. ZeeZoe

    Swali lolote kuhusu mambo ya upande wa pili (kiroho)

    How... Nisaidieni wapendwa!
  7. ZeeZoe

    Swali lolote kuhusu mambo ya upande wa pili (kiroho)

    Sikumbuki jambo lolote kubwa. Na kama ndoto hizi zinauhusiano Na maisha yangu sasa Hivi kua Na vikwazo nifanye nini kuziondoa?
  8. ZeeZoe

    Swali lolote kuhusu mambo ya upande wa pili (kiroho)

    Ni Kweli yanaenda slow.. Je kuna namna yeyote naweza kuondokana na hali hii?
  9. ZeeZoe

    Swali lolote kuhusu mambo ya upande wa pili (kiroho)

    Mimi pia huota ndoto za shule. Tena secondary Na nilishapita huko miaka karibu kumi. Hua ninaota tumekaribia kufanya mitihani imebaki wiki moja au Mbili lakini Mimi somo LA hesabu Sifaham chochote. Nashikwa Na waswas nakuanza kutafuta namna ya kufundishwa Na wenzangu. Ni mara moja nilishaota...
  10. ZeeZoe

    Mimi ni muathirika wa UKIMWI

    Pole sana dear..unaonekana sio mwandishi mzuri ila nimeyahisi maumivu yako.Mungu akupe uwezo wa kujikubali na kusamehe ili uendelee na maisha mengine ya furaha.
  11. ZeeZoe

    Wapi naweza pata huduma ya Psychometric Assessment Test Dar es Salaam

    Me navyojua hio ni kama APTITUDE TEST so Ingia google utafute maswali,sio kipimo cha hosptali.
  12. ZeeZoe

    Unataka nani wa JF mkutane hata njiani

    Nokia83, Evelyn salt
Back
Top Bottom