Kila chenye,mwanzo lazima kiwe na mwisho, Kuna siku isiyokuwa na jina, kila kitu kitakuwa sawa, lazima kwenye jamii yeyote au nchi yeyote Kuna ambao watateseka kwa ajili ya engine ili haki ipatikane.
Nimefuatilia mjadala hapo awali nimegundua machache lakini kubwa zaidi, huyu mama she is not the one to blame,
Kwani hakukuwa na watu wengine wa kufanya hiyo kazi mpaka akaitwe yeye kutoka nje ya nchi (Fikiria nje ya box acha kudumaza akili yako) jibu rahisi walikuwepo wengi tu!
Kwa nini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.