Recent content by Zee la mgundini

  1. Z

    Manin'g nice yafungiwa leseni ya usafirishaji

    Huu ni uwonevu sana au kwasababu ni msambaa? Alafu isitoshe jamaa alijipanga hadi boda ya msumbiji dah!! Kwa hili bosi wa sumatra rudisha moyo wako tunajua ni shinikizo na kama unataka kufanya kazi fanya kazi siyo kwa njia ya mtwara tu, kunanjia ya mwanza,arusha ,mombasa,dodoma, iringa,mbeya na...
  2. Z

    Naitaji msaada wenu maana sielewi nini tatizo

    Kwahiyo Ginsomin ni dawa ya nini
  3. Z

    Naitaji msaada wenu maana sielewi nini tatizo

    Ilikuwa siku ya jnne 18/03/2014 nilienda hospital na kupimwa malaria,ila sikuambiwa kama nina malaria au sina nikaandikiwa dawa inayoitwa GINSOMIN ya Korean Panax Ginseng Extract na dawa nyingine ni OLFEN - 100 SR, Tangu nimeanza kutumia leo ni siku ya nne lakini ata unafuu sijaupata tena...
  4. Z

    Umewahi kuibiwa simu iphone 5?

    Naomba kuelekezwa jinsi ya ku-google unapotafuta sim
  5. Z

    Umewahi kuibiwa simu iphone 5?

    Mimi nimeibiwa HUAWEI Y300 nifanyeje ili niipate
  6. Z

    Zitto na swali toka kwa follower wake!

    Umuhimu wa Zitto kalenga unaonekana na c kalenga tu mpaka Chalinze watamkumbuka na bado 2015 watakapo poteza viti vingi vya ubunge.
  7. Z

    Over drive button

    Asanteni kwa kutuelimisha matumizi ya over drive. Je hii D2 inatumika wakati gani? Na unavyotumia hiyo D2 over drive iwe OFF au ON? Naomba kuwakilisha hoja.
  8. Z

    Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatano, Tarehe 12 Machi 2014 - Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Bunge Maalum

    Mimi ninawasiwasi na wajumbe, najua bunge limeja jaa wasomi wengi na waelewa ambao tuna wakubali, lakini kwahili la kualibika kura saba bado sijalipatia ufafanuzi tena linatia haibu sana. Ongera mh sitta kwa ushindi.
  9. Z

    Naomba kusaidiwa jinsi ya kutafuta cm iliyo ibiwa

    Serio no IMEI no 356318053282840 hii ni Nokia X2 IMEI no 354598052282105 hii Nokia Asha 310 IMEI no 863522025672113 hii ni HUAWEI Ascend Y300
  10. Z

    Naomba kusaidiwa jinsi ya kutafuta cm iliyo ibiwa

    Kuna msichana mmoja ambaye anakaa morogoro kilosa alikuja kunitembelea wakati wa kuondoka nilimsindikiza mpaka ubungo sasa wakati narudi ndiyo nika gundua simu zangu azipo kwenye gari nikahisi niliziacha mjengoni kufika mjengoni sijaziona, ikabidi nitumie sim ya mdogo wangu nikampigia akaniambia...
  11. Z

    Naomba kusaidiwa jinsi ya kutafuta cm iliyo ibiwa

    Waugwana mpo wapi naitaji msaada wenu
  12. Z

    Kesi ya Babu Seya na wanae - Ukweli ni upi haswa?

    Chakujiuliza kwanini watoto wale wawili wameachiwa kwa kigezo kipi!? Na waliukumiwa kwa kigezo kipi!? Je babu seya alikuwa hana housegirl au houseboy? Kwa nini hawakuojiwa wala mkewe ambaye alikuwa anayaona hayo maovu na kuyafumbia macho. Kwa hili mahakama itakuwa haija tenda haki, nahao watoto...
  13. Z

    Naomba kusaidiwa jinsi ya kutafuta cm iliyo ibiwa

    Naomba kujuzwa nimeibiwa sim tatu moja ya Huawei Y300, Nokia X2 na Nokia Asha 320. Je nifanyeje ili nizipate maana nasikiaga tu kwamba hizi smartphone ikiibiwa unaweza ukaitafuta. Naomba kuwakilisha waungwana wenzangu naitaji majibu mazuri kwa wana jf wenye kuelewa.
Back
Top Bottom