Kiongozi mkubwa kama wa jeshi anatakiwa kuwa last man to speak. chochote kikitokea akapingwa na watu juwa hakuna atakae sikilizwa tena. that is total wrong mtu kama yeye kufanya press conf
FIFA huwa wana hisabu point unazopata kila mechi na magoli ndio Rank inaongezeka.
Mawazo yangu TFF wanatakiwa waishauri serikali kurudisha michezo mashule ili soka letu likuwe. chukulia mfano Vilabu vyetu vya simba na yanga mchezaji anaesifiwa sana kwenye timu hizo mbili basi sio Mtanzania.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.