Mimi nadhani kwa mifumo ya shule za Montessori naona vinampatia Mtoto fursa zaidi ya mifumo ya elimu iliyopo nchini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani jamani mwanzo si ilionekana kuna channel za ndani zitaonekana isipokiwa kutakuwa na channel zenye maudhui ya kulipia . kwa king'amuzi cha continental ilipaswa local channel ziwezioneshwa free hata usipolipia kwa mwezi ilaaa jiii. Hii nchi bwana.
Samahani wanajukwaa nimepatwa na tatizo la external harddisc inaukubwa GB 7500 yangu kuanguka na kusabisha kutokusoma. Nimewaona mafundi kadhaa sijapata msaada wowote. Kwa mwenye ufahamu plz naomba msaada kurejesha data zangu muhimu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.