Pole sana ndugu yangu. Nami naungana na wengine kushauri. Hakuna msaada kwingineko ndugu yangu MSAADA UTAUPATA KWA JINA LA YESU PEKEE. Tafuta huduma ya maombezi haraka. tatizo ulilosimulia ni dogo sana na wala si la kuchukua masiku. Jitoe kwa YESU wewe na mkeo nanyi mtapata kuokolewa na uponyaji.
Chukua tahadhari mkuu website zingine matapeli, ukishalipa wanapotea. Mimi nishalizwa na sikuweza pata msaada hata kwa ubalozi wa Japan hapa nchini hawakuwa na la kufanya. Chukua tahadhari sana na website gani una deal nao.
Dumila ni mahali pa zuri sana kwa shughuli hii. Biashara hii ni zuri sana na itakulipa, wala hutahitaji kuanza na hela yote hiyo, waweza anza kidogo huku ukisoma mzaingira na kuziea mazingira. Nakushauri uanze na kutafuta soko la maziwa ya kiwango hicho cha uzalishaji maana hapo huwa ndo...
Nimependa maada hii. Right business consultancy, kama mnaweza kutoa hata kwa kifupi juu ya taratibu kama alivyouliza mwana jf pakamweusi ingependeza sana kwa manufaa ya wengi.
Big up sana ndugu yangu kwa kuanza kufuga. Mimi ninafuga kuku wa mayai pia, nilianza January mwaka jana, nilianza na kuku 600 na hatimaye kuongeza wengine 2,000. Wote wanataga vizuri sana. changamoto za hapa na pale hazikosi ila ikishaingia katika business hii huwezi kutika kirahisi, kwa sababu...
Political risk is one of the biggest factor to be considered for FDI decisions to a host country. Yatupasa tuelezana ukweli watanzania, yaliyofanyika mtwara yanaweza kuwaogopesha wawekezaji na hatimaye matarajio yetu ya kunufaika na hii rasilimali ya gas kutotimia. Tunaomba serikali yetu ifanye...
Asante sana mkuu hii habari, mimi ninampango wa kulima mahindi mwakani katika kiwango cha kibiashara, kama wewe unayafahamu maeneo haya waweza kutoa maelezo zaidi kuwa yanafaa kwa mazao gani haswa na taarifa za bei zitakuwa msaada mkubwa sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.