Ndiyo ifutwe sababu inampa wakati mgumu mtoto kushindwana kuelewa huku akibaki na maswali Mengi, nadhani iwekwe Elimu ya juu ambapo mwanafunzi anakuwa na uelewa mpana wa kupambanua hoja : mwana theory mmoja akasema "don't teach all my theories to innocent children"
Pole mkuu, niko katika situation kama hiyo inauma kuliko msiba, Naamini mungu kaniepusha coz dalili hazikuwa nzuri toka mwanzo,
Sijakataa tamaa naamini pia yupo ambae tutaridhiana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.