sasa ni wakati wa kuondoa nidhamu ya woga wapo si wanafiki kama hawa madiwani waliotimuliwa haijalishi wana uwezo au la, kutunza utu wa wanaowaongoza ndio cha msingi hichi wamekisahau na kufikiri waliingia kwenye udiwani kwa uwezo wao sasa wakati wa kusafisha mamluki umefika, kwa kifupi mamluki...
kwa kweli chadema nimewakubali sasa si zama za kufumbiana ndio sababu nchi inaingia katika mikataba mibovu kwa sababu ya kulea madudu,bora wabaki wawili ambao si mamluki ,
sio ajabu labda kwa mlio mjini sehemu kama ujaluoni ni kawaida sana watu wanaselebuka tuu kunywa mpaka kuchee,binafsi nilihswahi kuhudhuria kilio cha rafiki yangu mjaluo huko musoma nilishangaaa tuu ikabidi nitulie ilikua vigumu kukubaliana nao lakini ndo utamaduni wao ,kweli zunguka uone...
ya kaisari mpe kaisari na yalio ya Mungu mpe Mungu huwezi kutumikia mabwana wawili kwa wakati mmoja kwa uelewa wangu Siasa na Mungu zipo tofauti kabisaa hazikai pamoja kabisaaaaa kwa sababu siasa is all about longolongo.com
Ki mtazamo nilivyomsoma huyu jamaa wa ccm
malipo ya dowans ndio ajenda kubwa kwao ambayo taka tusitake lazima yatafanyika :frusty:
suala la katiba mpya ni ndoto labda kutumia nguvu ya uma kwa mfumo wa sasa ni sawa na danganya toto why jamaaa anadhubutu kusema mimi na wewe hatutaki katiba mpya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.