Kila jambo na wakati wake, sidhani kama ana upendeleo na kanda ya ziwa ni mtazamo potofu. Maendeleo yote yana athari zake tuvumilie IPO siku tutamkumbuka.
Mi naona hamjamuelewa anachomaanisha, anashauri watu wasitumie kama kitambulisho hii itasaidia kutoibeba Mara kwa Mara na kutembea nayo kila Siku Ili kupunguza uwezekano Wa kupotea kirahisi.
Kama in bandarini namuunga Mkono.Hakuna sehemu kulikooza kama huko. Watu walikuwa wanaajiliwa kwa kufuata ukoo. Kuna familia wanne yaani kaka mkubwa na wadogo zake watatu wote wako bandari. Ila kaka mkubwa alitumbuliwa na Magu juzi kati.Huko awashughulikie kwakweli na wengi hawana elimu na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.