Inategemea na aina ya madini na aina ya biashara. Kama ni mnunuzi mdogo wa madini ya dhahabu(Broker) unaweza kuanza hata na 2M ila kama ni Mnunuzi na Muuzaji mkubwa (Dealer) mtaji wake wa chini ni 100M
Ninawasiwasi wewe ndo hujanielewa... ili uweze kujua Jina la mwamba au Jiwe kunabaadhi ya sifa unapaswa kuona physicaly. Rangi peke haitoshi kwakua germstons maranyingine hufanana rangi
Sent using Jamii Forums mobile app
Inakua vigumu kufanya rock determination through photo rather than physical observation
Ila kwa mtazamo wangu naona kama Yellow sapphire.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao wanaojua uhalisia ndio haswa ndio tunawataka however kupata elimu ya hiyo biashara sio lazima mtu ukaifanye.... kujua ni kitu kimoja na kuifanya ni another thing.
Mimi sikua kwenye IT naomba mjuzi anifahamishe kuhusu hii biashara. Ukiwaza kwa kina utagundua jamaa anania nzuri ya kushare na wadau kuhusu hili jambo,,,,,Me nafikiri tusubiri ananayefahamu ili iwe ni elimu kwa wale tusiojua kuhusu hiyo mambo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.