Kifo ni somo na mafunzo makubwa kwa sisi tulio hai. Apumzike kwa amani mzee wetu Lukuvi.
Ila kwa sisi tulio Baki hai tunapaswa kujifunza kuwa maisha haya ya duniani ni mapito tu, hatupaswi kutendeana maovu, jeuri, kiburi vyote hivyo havina maana.
Maisha yetu hapa duniani ni ya muda tu, hivyo...
Kufuatia vita vinavyo endelea, nimemsikia waziri wa Nishati Deo Ndejembi akiwahakikishia watanzania kuwa hakutokuwa na uhaba wa mafuta.
Hilo ni jambo jema kusikia hivyo, ila viongozi wetu mmekuwa wasemqji wazuri lakini ufuatiliaji umekuwa butu.
Tunamuomba Waziri na timu yake wafuatilie kwa...
Vita katika karne hii ya 21 ni UJIMA.
binadaamu walio staarabika vita vya nini.
Marekani na Israeli na mataifa yanayotaka tuishi kwenye maisha ya kivita.
Hakika sasa tunawaziri Mkuu mtendaji mwenye kujali kusikiliza na kutatua kero za wananchi.
Anancho kifanya waziri Mkuu ndicho haswa wanacho kitaka watanzania.
Sasa viongozi wengine, Mawaziri, wakuu wa Mikoa ma DC pamoja na watendaji wote mnapaswa kufuata nyayo hizo ili kupunguza kero za...
Katika zama hizi hamasa ya kutoa elimu juu ya maradhi/gonjwa hatari la ukimwi haitolewi mashuleni. Jambo hili linapelekea watoto kushindwa kujiepusha na njia hatarishi za maambukizi ya ukimwi.
Tunaomba wizara husika Tamisemi na walimu wote watoe elimu kwa kina kwa wanafunzi juu ya maambukizi na...
1. Waziri wa Elimu anastahili kuendelea.
2. Waziri wa Maji anastahili kuendelea.
3. Waziri wa Kilimo anastahili kuendelea.
4. Waziri wa Tamisemi anastahili kuendelea.
5. Waziri wa Jinsia anastahili kuendelea.
6. Waziri wa Fedha anastahili kuendelea.
7. Waziri wa Mambo ya ndani anastahili...
Waziri wa Afya Mama Jenista Mhagama atakuwa kakusikia.
Kazi yake hiyo.
Nawashauri Mawaziri wasilale kipindi hiki cha uchaguzi, watimize wajibu wao kikamilifu.
Wizara ni muhimu zaidi kuliko jimbo. Wananchi wanataka huduma.tatueni kero kwa wakati.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.