Recent content by zandrano

  1. Z

    Pongezi kwa Idara ya kupambana na madawa ya kulevya

    Pongezi nyingi kwa kamishna na watendaji wote kwa kazi kubwa wanayoifanya ya kupambana na madawa ya kulevya, kazi bado ni kubwa lakini tunaona jitihada na dhamira ya kupambana. Tumeona kazi ya kudhibiti bandari bubu kuanzia mwambao wa bagamoyo hadi DsM, pote humo kuna chochoro za kupitisha...
  2. Z

    Mtanzania mwenye umri wa miaka 60 akamatwa na Mihadarati Ethiopia

    anyongwe hadi afe. hana faida kwa taifa.
  3. Z

    Si niliwaambia msioe? Hebu tujiulize haya juu ya DED Mafia na Mkewe

    huenda huyo DED kasingiziwa na mke wake. huenda ndoa yao haiukuwa na maelewano. nakumbuka sakata la Mbasha alifunguliwa kesi ya kubaka lkn hatimaye .......kila kitu kolijulikana.
  4. Z

    TANZIA Gardner G Habash mtangazaji wa Clouds Media afariki dunia

    wakongwe/wazee wa clonds naona wanapuputika. poleni sana wanafamilia wa clouds.....
  5. Z

    TANZIA Gardner G Habash mtangazaji wa Clouds Media afariki dunia

    binadaamu tuache maringo na kuonea binaadamu wengine. maisha ya hapa duniani ni mapito tu. tusiringe na kujidai sana kama vile hatuwezi kufa. tuheshimiane, tupenfane. r.i.p
  6. Z

    Mfanyabiashara Alex Msama akamatwa kwa tuhuma za Utapeli wa Viwanja vya Tsh. Milioni 800

    Wizara ya Ardhi imepata mtendaji. ndg. Jerry. Mungu amlinde.ame
  7. Z

    Umri wa kustaafu ukipunguzwa, nafasi za ajira kwa vijana wanaohitimu elimu ya vyuo vikuu zitapatikana

    Katika jitihada za kuongeza ajira kwa kundi kubwa la vijana wanao hitimu elimu ya vyuo vikuu, tunaishauri Serikali kupitia wizara husika kurekebisha umri wa kustaafu watumishi wa umma uwe miaka 50 badala ya miaka 55. Kwa sasa mtumishi anastaafu kwa mujibu wa sheria miaka 55 na wengine hadi 65...
  8. Z

    KERO Biashara ya Ukahaba Mbezi Mwisho, Kwenye Bar ya Lubumbashi na maeneo yake ya jirani ni hatari kwa maadili ya watoto na kero kubwa wakazi wa eneo hili

    Maambukizi ya UGONJWA HATARI WA UKIMWI ni mkubwa sana kwwnye eneo jilo. Ukimwi njenje. ARVs ni mateso epuka ukimwi.
  9. Z

    Paul Makonda atishia kuwataja wanaolipa watu 'Kumtukana Rais Samia mitandaoni', wamo Mawaziri

    Wanao msema wanajulikana. Tutamsaidia kuwataja hadharani endapo hawatajitekebisha.
  10. Z

    Yanayoendelea ndani ya uongozi wa CCM na serikali yanatafakarisha

    aise! nimebaki kushangaa tu. ili huenda wao wanajua zaidi kuliko sisi.
  11. Z

    Waislamu walikuwa na nchi kubwa tatu Libya ya Gaddafi, Iraq ya Saddam Hussein na Iran. Imebaki na Iran tu

    Ukiacha baadhi ya nchi kama vile Korea. Iran ndio nchi yenye Mtambo wa Nyukilia......anatengeneza Silaha za nyuklia.....ndio silaha hatari zaidi ulimwenguni. Dunia inaogopa silaha za nyuklia. huwezi kuichezea Iran kama vile Iraqi n.k Ndio maana mataifa makubwa haswa Marekani imemtahadharisha...
  12. Z

    Watumishi wa umma wapewe elimu ya kikokotoo wamechanganyikiwa

    Poleni sana. kwani kikokotoo ni sayansi ya kurusha roketi hadi iwe mjadala wa somo lisilo eleweka?
  13. Z

    Baada ya haya mafuriko tutakuja kulia ukame?

    Tunashuhurika katika kila kona ya nchi yetu mafuriko ya maji, bwawa la nyerere limetapika, mtera imetapika, kidatu imetapika n.k. Kwa baraka hii ya mvua kuwa nyingi na mafuriko ya maji, je wizara mbalimbali zinampango wa kuyavuna maji haya yaliyo furika kila kona au tumebaki kuyashangaa halafu...
  14. Z

    Wapalestina Gaza washangilia Iran kuipiga Israel. Chakula chaanza kupatikana masokoni

    Inasemekana drones za Iran zilizagaa kwenye anga la Israel kama nyuki.... Iran imeithibitishia Dunia kuwa ina nguvu ya sialaha za kisasa na zenye nguvu kuweza kuiadhibu Israeli, isingekuwa Marwkani, Uengereza, Ufaransa na Jordan kuisaidia Israel kutegua makombora basi madhara kwa Israel...
Back
Top Bottom