Pongezi nyingi kwa kamishna na watendaji wote kwa kazi kubwa wanayoifanya ya kupambana na madawa ya kulevya, kazi bado ni kubwa lakini tunaona jitihada na dhamira ya kupambana.
Tumeona kazi ya kudhibiti bandari bubu kuanzia mwambao wa bagamoyo hadi DsM, pote humo kuna chochoro za kupitisha...
huenda huyo DED kasingiziwa na mke wake.
huenda ndoa yao haiukuwa na maelewano.
nakumbuka sakata la Mbasha alifunguliwa kesi ya kubaka lkn hatimaye .......kila kitu kolijulikana.
binadaamu tuache maringo na kuonea binaadamu wengine.
maisha ya hapa duniani ni mapito tu. tusiringe na kujidai sana kama vile hatuwezi kufa.
tuheshimiane, tupenfane. r.i.p
Katika jitihada za kuongeza ajira kwa kundi kubwa la vijana wanao hitimu elimu ya vyuo vikuu, tunaishauri Serikali kupitia wizara husika kurekebisha umri wa kustaafu watumishi wa umma uwe miaka 50 badala ya miaka 55.
Kwa sasa mtumishi anastaafu kwa mujibu wa sheria miaka 55 na wengine hadi 65...
Ukiacha baadhi ya nchi kama vile Korea.
Iran ndio nchi yenye Mtambo wa Nyukilia......anatengeneza Silaha za nyuklia.....ndio silaha hatari zaidi ulimwenguni.
Dunia inaogopa silaha za nyuklia. huwezi kuichezea Iran kama vile Iraqi n.k
Ndio maana mataifa makubwa haswa Marekani imemtahadharisha...
Tunashuhurika katika kila kona ya nchi yetu mafuriko ya maji, bwawa la nyerere limetapika, mtera imetapika, kidatu imetapika n.k.
Kwa baraka hii ya mvua kuwa nyingi na mafuriko ya maji, je wizara mbalimbali zinampango wa kuyavuna maji haya yaliyo furika kila kona au tumebaki kuyashangaa halafu...
Inasemekana drones za Iran zilizagaa kwenye anga la Israel kama nyuki....
Iran imeithibitishia Dunia kuwa ina nguvu ya sialaha za kisasa na zenye nguvu kuweza kuiadhibu Israeli, isingekuwa Marwkani, Uengereza, Ufaransa na Jordan kuisaidia Israel kutegua makombora basi madhara kwa Israel...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.