Recent content by zandrano

  1. Z

    Kifo ni somo kubwa kwa sisi tulio hai

    Kifo ni somo na mafunzo makubwa kwa sisi tulio hai. Apumzike kwa amani mzee wetu Lukuvi. Ila kwa sisi tulio Baki hai tunapaswa kujifunza kuwa maisha haya ya duniani ni mapito tu, hatupaswi kutendeana maovu, jeuri, kiburi vyote hivyo havina maana. Maisha yetu hapa duniani ni ya muda tu, hivyo...
  2. Z

    Kuhusu sakata la mafuta, Waziri wa Nishati na timu yako fuatilieni msiishie kusema tu kwenye vyombo vya habari

    Kufuatia vita vinavyo endelea, nimemsikia waziri wa Nishati Deo Ndejembi akiwahakikishia watanzania kuwa hakutokuwa na uhaba wa mafuta. Hilo ni jambo jema kusikia hivyo, ila viongozi wetu mmekuwa wasemqji wazuri lakini ufuatiliaji umekuwa butu. Tunamuomba Waziri na timu yake wafuatilie kwa...
  3. Z

    78 Year Old Witch Doctor Sentenced To 20 Years For Defiling His Daughter

    20 year prison was not sufficient, he should have been sentenced to death
  4. Z

    78 Year Old Witch Doctor Sentenced To 20 Years For Defiling His Daughter

    20 year prison was not sufficient, he should have been sentenced to death.
  5. Z

    TANZIA Waziri William Lukuvi (na Mbunge wa Isimani) afariki Dunia

    Apumzike kwa amani. Binaadamu wenzangu tuache jeuri, kiburi, ubaya kwa wenzako, kifo haiko mbali. Tutendeane mema.
  6. Z

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Vita katika karne hii ya 21 ni UJIMA. binadaamu walio staarabika vita vya nini. Marekani na Israeli na mataifa yanayotaka tuishi kwenye maisha ya kivita.
  7. Z

    Utendaji wa Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu unaleta faraja na matumaini kwa watanzania

    Hakika sasa tunawaziri Mkuu mtendaji mwenye kujali kusikiliza na kutatua kero za wananchi. Anancho kifanya waziri Mkuu ndicho haswa wanacho kitaka watanzania. Sasa viongozi wengine, Mawaziri, wakuu wa Mikoa ma DC pamoja na watendaji wote mnapaswa kufuata nyayo hizo ili kupunguza kero za...
  8. Z

    Elimu juu ya ugonjwa wa UKIMWI haitolewi ipasavyo mashuleni

    Katika zama hizi hamasa ya kutoa elimu juu ya maradhi/gonjwa hatari la ukimwi haitolewi mashuleni. Jambo hili linapelekea watoto kushindwa kujiepusha na njia hatarishi za maambukizi ya ukimwi. Tunaomba wizara husika Tamisemi na walimu wote watoe elimu kwa kina kwa wanafunzi juu ya maambukizi na...
  9. Z

    Mawaziri hawa wanastahili kuendelea kumsaidia Rais

    1. Waziri wa Elimu anastahili kuendelea. 2. Waziri wa Maji anastahili kuendelea. 3. Waziri wa Kilimo anastahili kuendelea. 4. Waziri wa Tamisemi anastahili kuendelea. 5. Waziri wa Jinsia anastahili kuendelea. 6. Waziri wa Fedha anastahili kuendelea. 7. Waziri wa Mambo ya ndani anastahili...
  10. Z

    KERO Mashine ya CT Scan Hospitali ya Mloganzila ni Mbovu kwa zaidi ya Miezi mitatu sasa, tatizo nini?

    Waziri wa Afya Mama Jenista Mhagama atakuwa kakusikia. Kazi yake hiyo. Nawashauri Mawaziri wasilale kipindi hiki cha uchaguzi, watimize wajibu wao kikamilifu. Wizara ni muhimu zaidi kuliko jimbo. Wananchi wanataka huduma.tatueni kero kwa wakati.
  11. Z

    Kimara inaharibu taswira ya jiji la Dar, serikali haioni hii aibu?

    Tena Barabara hii kuanzia Kibaha hadi mbezi ndio lango kuu la kuingia na kutoka dam. Maafisa wa mipango miji wapo maofisini wanacheza gemu!!!!
  12. Z

    Angalia watoto wa Gaza wanavyokufa kwa njaa mikononi mwa mama zao mbele ya macho ya wenzao huku dunia ikiwa haitaki kuangalia.

    Aise! Dunia hii haina haki. Watoto wa Gaza hawana haki sawa na watoto wa Marekani au nchi zingine za ulaya.
  13. Z

    Bei za TV brands tofauti tofauti tofauti

    Ahsante sana kwa kutupa bei ya punguzo, nataka 65" na 1.2m utapokea?
  14. Z

    CHADEMA yamteua Gerva Bernard Lyenda kuwa mkuu wa Idara ya Habari

    🤣🤣kwisha habari yao. No reforms no electronic
Back
Top Bottom