Msaidieni mawazo......ujuaji mwingi unapoteza maarifa.
eti unaita mashahidi.....alidhani hawatokuja sasa watakuja halafu ushahidi utazidi kumwelemea yeye.
Endapo atakutwa na hatia, adhabu yake ni KUNYONGWA HADI KUFA.
Wacha tusubiri tuone anacho kitafuta kwa mashahidi wa upande wa jamuhuri.
Pole kwa Mhe. Rais wetu kwa msiba mzito wa kuondokewa na mwenza wake. Mungu ampe avumilivu katika kipindi hiki kigumu. Pole kwa familia ndugu na jamaa.
Nimepata msamiati mpya kutoka kwa Mbuge Msukuma alipo kuwa anamuelezea Maku wa Rais Mhe. Deo Ndejembi alimuasa Makamu Mpya kuwa asiwe na tabia ya " kupiga shoti wenzake".
Bilashaka neno hilo lina maana ya viongozi walipewa mamlaka wasiwe na tabia ya kuwafitini na kupiga majungu walio chini yao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.