Hatuna cha kuwapq Azam Tv, bali tunasema Asanteni sana kwa kutuwezesha kufuatilia mechi zote.
Hakika mmewafanya watanzania na wananchi wote wa Afrika Mashariki na kati wanafurahia huduma ya Azam tv.
Asanteni sana Azam.
Sijawaelewa, hamtaki matumizi yabanwe au?
Nafahamu kuwa; kusema ni jambo moja na utekelezaji ni jambo jingine.
Nadhani jambo la msingi hapa tutoe njia ya kufanya jambo hilo jema liweze kutekelezeka.
Nchi yetu bado inachechemea kiuchumi hivyo hakuna budi matumizi ya serikali yabanwe.
Tunaunga mkono hoja ya Spikq wa Bunge ya kuwataka watendaji wote wa Serikali kuiga mfano wa Mh. Rais dkt Samia katika kubana matumizi ya Serikali.
Spika amesema naye ameunga mkono kwa kubadilisha gari lake na ametawataka watendaji wote wa Serikali kubadili magari ya gharama kubwa.
Ushauri;
1...
Mimi sio mchelzaji wa mpira bali ni shabiki wa mpira, natamani sana wachezaji wetu katika kipindi hiki wajifunze mbinu na maarifa ya mchezo wa mpira unao onyeshwa na timu mbalimbali.
Huu ni muda wa kujifunza.
Mimi tu nimejifunza mambo mengi. Kazi kwenu wachezaji. Kama mtatumbua macho tu shauri...
Wananchi wote wa Tanzania kwa dhati ya moyo wetu tunaipongeza Ripoti ya tume ya uchunguzi chini ya Mwenyekiti Jaji Chande, hakika imekata kiu ya watanzania.
Sasa kilichobaki ni upande wa Serikali yetu chini ya Dkt. Samia kufanyia kazi mapendekezo yaliyo tolewa na tume.
Who will now stand as the global champion of democracy and defender of human rights, if the United States itself is increasingly accused of actions that resemble war crimes?
At present, the world is witnessing deeply troubling developments in the conflict involving Iran. What we are seeing...
Kifo ni somo na mafunzo makubwa kwa sisi tulio hai. Apumzike kwa amani mzee wetu Lukuvi.
Ila kwa sisi tulio Baki hai tunapaswa kujifunza kuwa maisha haya ya duniani ni mapito tu, hatupaswi kutendeana maovu, jeuri, kiburi vyote hivyo havina maana.
Maisha yetu hapa duniani ni ya muda tu, hivyo...
Kufuatia vita vinavyo endelea, nimemsikia waziri wa Nishati Deo Ndejembi akiwahakikishia watanzania kuwa hakutokuwa na uhaba wa mafuta.
Hilo ni jambo jema kusikia hivyo, ila viongozi wetu mmekuwa wasemqji wazuri lakini ufuatiliaji umekuwa butu.
Tunamuomba Waziri na timu yake wafuatilie kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.