Recent content by zandrano

  1. Z

    JamiiForums Tanzania Ahsante sana Azam TV kwa kutuonyeshe mechi zote za World Cup 2026

    Hebu nisaidie, nilipaswa nimshukuru nani?
  2. Z

    JamiiForums Tanzania Mzee Warioba: JWTZ wasiingizwe kwenye siasa, walinde usalama wa nchi.Je, jeshi letu limeingizwa kwenye siasa?

    Pongezi kwa Morroco kwa kutinga robo fainali. Timu pekee kutoka bara la Africa inayo tuwakilisha vyema
  3. Z

    JamiiForums Tanzania Ahsante sana Azam TV kwa kutuonyeshe mechi zote za World Cup 2026

    Hatuna cha kuwapq Azam Tv, bali tunasema Asanteni sana kwa kutuwezesha kufuatilia mechi zote. Hakika mmewafanya watanzania na wananchi wote wa Afrika Mashariki na kati wanafurahia huduma ya Azam tv. Asanteni sana Azam.
  4. Z

    JamiiForums Tanzania Spika Zungu awataka Mawaziri na Watendaji wote kuiga mfano wa Rais katika kubana matumizi ya Serikali

    Sijawaelewa, hamtaki matumizi yabanwe au? Nafahamu kuwa; kusema ni jambo moja na utekelezaji ni jambo jingine. Nadhani jambo la msingi hapa tutoe njia ya kufanya jambo hilo jema liweze kutekelezeka. Nchi yetu bado inachechemea kiuchumi hivyo hakuna budi matumizi ya serikali yabanwe.
  5. Z

    JamiiForums Tanzania Spika Zungu awataka Mawaziri na Watendaji wote kuiga mfano wa Rais katika kubana matumizi ya Serikali

    Tunaunga mkono hoja ya Spikq wa Bunge ya kuwataka watendaji wote wa Serikali kuiga mfano wa Mh. Rais dkt Samia katika kubana matumizi ya Serikali. Spika amesema naye ameunga mkono kwa kubadilisha gari lake na ametawataka watendaji wote wa Serikali kubadili magari ya gharama kubwa. Ushauri; 1...
  6. Z

    JamiiForums Tanzania Hivi timu zetu za mpira zinajifunza kupitia michuano ya world cup 2026 inayo endelea huko marekani, Canada na Mexico?

    Mimi sio mchelzaji wa mpira bali ni shabiki wa mpira, natamani sana wachezaji wetu katika kipindi hiki wajifunze mbinu na maarifa ya mchezo wa mpira unao onyeshwa na timu mbalimbali. Huu ni muda wa kujifunza. Mimi tu nimejifunza mambo mengi. Kazi kwenu wachezaji. Kama mtatumbua macho tu shauri...
  7. Z

    JamiiForums Tanzania CAG Mstaafu Prof Mussa Assad: Kuna Waziri Kijana ana ukwasi wa kutisha miaka mitano tu madarakani!!

    Sio dhambi kuwa na ukwasi endapo tu amezipata kwa njia ya uhalali.
  8. Z

    JamiiForums Tanzania Wananchi tunaipongeza ripoti ya Jaji Chande kwa uwazi ukweli na uadilifu. Sasa ni wakati wa kuponya siokubezana na kukejeli

    Wananchi wote wa Tanzania kwa dhati ya moyo wetu tunaipongeza Ripoti ya tume ya uchunguzi chini ya Mwenyekiti Jaji Chande, hakika imekata kiu ya watanzania. Sasa kilichobaki ni upande wa Serikali yetu chini ya Dkt. Samia kufanyia kazi mapendekezo yaliyo tolewa na tume.
  9. Z

    JamiiForums Tanzania Who will now stand as the global champion?

    Who will now stand as the global champion of democracy and defender of human rights, if the United States itself is increasingly accused of actions that resemble war crimes? At present, the world is witnessing deeply troubling developments in the conflict involving Iran. What we are seeing...
  10. Z

    JamiiForums Tanzania Kifo ni somo kubwa kwa sisi tulio hai

    Kifo ni somo na mafunzo makubwa kwa sisi tulio hai. Apumzike kwa amani mzee wetu Lukuvi. Ila kwa sisi tulio Baki hai tunapaswa kujifunza kuwa maisha haya ya duniani ni mapito tu, hatupaswi kutendeana maovu, jeuri, kiburi vyote hivyo havina maana. Maisha yetu hapa duniani ni ya muda tu, hivyo...
  11. Z

    JamiiForums Tanzania Kuhusu sakata la mafuta, Waziri wa Nishati na timu yako fuatilieni msiishie kusema tu kwenye vyombo vya habari

    Kufuatia vita vinavyo endelea, nimemsikia waziri wa Nishati Deo Ndejembi akiwahakikishia watanzania kuwa hakutokuwa na uhaba wa mafuta. Hilo ni jambo jema kusikia hivyo, ila viongozi wetu mmekuwa wasemqji wazuri lakini ufuatiliaji umekuwa butu. Tunamuomba Waziri na timu yake wafuatilie kwa...
  12. Z

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda 78 Year Old Witch Doctor Sentenced To 20 Years For Defiling His Daughter

    20 year prison was not sufficient, he should have been sentenced to death
  13. Z

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda 78 Year Old Witch Doctor Sentenced To 20 Years For Defiling His Daughter

    20 year prison was not sufficient, he should have been sentenced to death.
  14. Z

    JamiiForums Tanzania TANZIA Waziri William Lukuvi (na Mbunge wa Isimani) afariki Dunia

    Apumzike kwa amani. Binaadamu wenzangu tuache jeuri, kiburi, ubaya kwa wenzako, kifo haiko mbali. Tutendeane mema.
Back
Top Bottom