Recent content by zandrano

  1. Z

    JamiiForums Tanzania Unaita mashahidi ambao unajua fika watakukandamiza. amakweli Lisu kachanganyikiwa.

    Msaidieni mawazo......ujuaji mwingi unapoteza maarifa. eti unaita mashahidi.....alidhani hawatokuja sasa watakuja halafu ushahidi utazidi kumwelemea yeye. Endapo atakutwa na hatia, adhabu yake ni KUNYONGWA HADI KUFA. Wacha tusubiri tuone anacho kitafuta kwa mashahidi wa upande wa jamuhuri.
  2. Z

    JamiiForums Tanzania Umejipanga vipi na mvua za El Nino?

    Yatupasa kila mmoja kuchukua tahadhari kabla ya hatari. Hatutarajii kusikia watu wa mabondwni eti wamekufa kwa mafuriko.
  3. Z

    JamiiForums Tanzania KERO Maeneo ya Stendi ya Mbezi Maramba, Darajani, korido la jengo la Abiria na Gereji (Stendi ya Magufuli) kunanuka mikojo

    Na mbaya zaidi mnawaona wanao kojoa maeneo hayo halafu mnawachekea. Chukueni hatu, msisubirie kila kitu askari afanye,
  4. Z

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir, afariki Dunia

    Pole kwa Mhe. Rais wetu kwa msiba mzito wa kuondokewa na mwenza wake. Mungu ampe avumilivu katika kipindi hiki kigumu. Pole kwa familia ndugu na jamaa.
  5. Z

    JamiiForums Tanzania Influencer na rafiki wa Davido afariki wakati akifanyiwa upasuaji wa kuongeza ukubwa wa uume

    Pesa ikizidi nayo ni shida. Pesa imemuuwa...........tumieni pesa vizuri......vinginevyo lazima ikumalize mapema.
  6. Z

    JamiiForums Tanzania Lissu: Nipo tayari kukaa gerezani mpaka haki itakapopatikana

    Endapo atakutwa na hatia adhabu yake ni " kunyongwa hadi kufa" aisee
  7. Z

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini: John Mnyika aendelea kumtetea Tundu Lissu Mahakamani. Maswali ya Dodoso kutoka Jamhuri - 2, Septemba 2026

    Endapo atakutwa na hatia adhabu yake ni " kunyongwa hadi kufa" aise.
  8. Z

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini: John Mnyika Kuendelea kumtetea Tundu Lissu Mahakamani. Maswali ya Dodoso kutoka Jamhuri kuendelea leo 1, Septemba 2026

    Endapo atakutwa na hatia adhabu yake ni "kunyongwa hadi kufa" aise ni hatari
  9. Z

    JamiiForums Tanzania Rais Samia ampiku Hayati Magufuli kwenye kila sekta

    Walimchukulia poa, sasa anawapelekea moto wa maendeleo kila kona.
  10. Z

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini: John Mnyika Kuendelea kumtetea Tundu Lissu Mahakamani. Maswali ya Dodoso kutoka Jamhuri kuendelea leo 1, Septemba 2026

    Endapo atakutwa na hatia, adhabu yake ni; " Kunyongwa hadi kufa".
  11. Z

    JamiiForums Tanzania Simbachawene: Bado Katiba yetu ni imara, imetuwezesha kuvuka vipindi vigumu kwa amani

    Simbacjawene yuko sahahi. Pamoja na virakq vyake bado katiba yetu ina uimara wa kutufikisha mbali.
  12. Z

    JamiiForums Tanzania Hii tabia ya "kupagana shoti" isipo tupiwa macho ni hatari sana

    Nimepata msamiati mpya kutoka kwa Mbuge Msukuma alipo kuwa anamuelezea Maku wa Rais Mhe. Deo Ndejembi alimuasa Makamu Mpya kuwa asiwe na tabia ya " kupiga shoti wenzake". Bilashaka neno hilo lina maana ya viongozi walipewa mamlaka wasiwe na tabia ya kuwafitini na kupiga majungu walio chini yao...
  13. Z

    JamiiForums Tanzania Makamu wa Rais wa Marekani JD Vance ana umri wa miaka 42, Makamu mteule wa Tanzania Ndejembi ana miaka 43.

    Kwasababu ya ukosefu wa maadili wakati akiwa kiongozi mkuu. Ukosefu wa maadili
  14. Z

    JamiiForums Tanzania Makamu wa Rais wa Marekani JD Vance ana umri wa miaka 42, Makamu mteule wa Tanzania Ndejembi ana miaka 43.

    Sawa kwa mujibu wa katiba ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania imeeleza sifa za Makamu lazima awe kuanzia miaka 40.
Back
Top Bottom